KAMA HUJAZOEA MSULI YATIMA KAMA TBRBOYS,KIBAHA,MZUMBE,ILBORU,TOSA,MINAKI,N.K LAZMA ULIE LAKINI KWA SIsi TULIOZOEA KUSOM NOTES WENYEW MIKESHO MWANZO MWISHO ,N.B HAKUNA RUHUSA YA KUPITWA KIJINGAKIJINGA KAMA HATA BIFU UNAWEKA
umejuaje? Ndo hvyohvyoyani wewe una mambo ya kijinga sana,nadhan umefaulu kwa bahati tu.
unanijua unanisikia?yani wewe una mambo ya kijinga sana,nadhan (umefaulu kwa bahati tu).
KAMA HUJAZOEA MSULI YATIMA KAMA TBRBOYS,KIBAHA,MZUMBE,ILBORU,TOSA,MINAKI,N.K LAZMA ULIE LAKINI KWA SIsi TULIOZOEA KUSOM NOTES WENYEW MIKESHO MWANZO MWISHO ,N.B HAKUNA RUHUSA YA KUPITWA KIJINGAKIJINGA KAMA HATA BIFU UNAWEKA
KAMA HUJAZOEA MSULI YATIMA KAMA TBRBOYS,KIBAHA,MZUMBE,ILBORU,TOSA,MINAKI,N.K LAZMA ULIE LAKINI KWA SIsi TULIOZOEA KUSOM NOTES WENYEW MIKESHO MWANZO MWISHO ,N.B HAKUNA RUHUSA YA KUPITWA KIJINGAKIJINGA KAMA HATA BIFU UNAWEKA
Mdogo wangu chuo hakuna kushindana...kwani hakuna wa kwanza wala wa mwisho.
2juane hata kwa contact even me natandika BAF au vip?
kuna ndugu yangu amenipa username yake na pasword yake nimuangalizie matokeo nimeingia kumuangalizia katika admission status nmekuta not yet processed. hii inamaanisha nini.? na katika list ya wasiochaguliwa jina lake halipo halikadhalika katika list ya waliomiss kujaza info zao jina lake halipo. msaada please.
We wa BAF 2juane coz nipo na ww,achana na huyo anaeleza mambo ya ilboru na kibaha,kwani cc 2lifeli ndio 2kapangiwa mucobs!msuli unatofautiana na vichwa.