Vangiporini JF-Expert Member Feb 20, 2012 310 218 Sep 9, 2013 #21 Mukunason said: Kuuliza sio mbaya! michango ya 2nd yr hawajaweka au mm ndo sion? Click to expand... mbona ipo,fanya kama unachunguza vizuri
Mukunason said: Kuuliza sio mbaya! michango ya 2nd yr hawajaweka au mm ndo sion? Click to expand... mbona ipo,fanya kama unachunguza vizuri
M Mr pesa Member Mar 20, 2013 79 7 Jul 1, 2014 #22 mimi nasoma Mechanical eng ktk chuo cha taifa cha usafirishaji ngazi ya OD Diplm mwaka wa kwanza Vip mipango ya kuhamia mwaka wa pili hapo wanapoke
mimi nasoma Mechanical eng ktk chuo cha taifa cha usafirishaji ngazi ya OD Diplm mwaka wa kwanza Vip mipango ya kuhamia mwaka wa pili hapo wanapoke
T Tigo Pesa Member Mar 18, 2012 8 3 Jul 2, 2014 #23 nataka ni join hapo bachelor ya computer vp walimu wapo au mizinguo tu kama vyuo vingine vya serikali?:cool2:
nataka ni join hapo bachelor ya computer vp walimu wapo au mizinguo tu kama vyuo vingine vya serikali?:cool2: