Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,197
- 11,532
Huyu jamaa anaunguza karanga kwa kutumia kemikali ya "sulphuric acid" na kutembeza mtaani! Karanga! Karanga! Waswahili hatutaki shida ya mambo ya kuthibitishwa ubora tunaona tunanyanyasika!
Hivi unaijua concentrated sulphuric acid? (H2So4)soda yenyewe na maji ya viwandani yanaunguzwa kwa kemikali
Tumia "vlc"Mimi Video imekataa kufunguka.
Lakini si unaona mwenyewe mzigo wa karanga pembeni? Acid inakaranga fasta! Hii acid hiko nyingi maabara zq shuleNdo kusema hiyo acid ni bei chee kiasi hicho mpaka aitumie kwa namna hyo anywa inafikirisha kibiashara
Nimeona mkuu ila ndo inafikirisha ni khesi angezikaang hata kwa ovenLakini si unaona mwenyewe mzigo wa karanga pembeni? Acid inakaranga fasta! Hii acid hiko nyingi maabara zq shule
Ndiyo ni kweli, mimi pia mgahawa wangu nilikuwa natumia sana hayo maji kupikia. Napata wateja kishenzi, maisha yanaendelea... Sote tunatafuta pesa tu.Arusha nimesikia sana story za wamama wauza mihogo na vitumbua kutumia maji ya maiti ili kuvuta wateja....
Kuna ukweli?
Hii mbona ni kawaida sana, watu wanatumia maji ya kutawazia tupu kwa kupikia vyakula mgahawani.Arusha nimesikia sana story za wamama wauza mihogo na vitumbua kutumia maji ya maiti ili kuvuta wateja....
Kuna ukweli?
Ndio maana huwa situmii vyakula vya mgahawaniHii mbona ni kawaida sana, watu wanatumia maji ya kutawazia tupu kwa kupikia vyakula mgahawani.
Woiiiiih
Full mauchafu yaan, Hatarii tupu.Ndio maana huwa situmii vyakula vya mgahawani
Hata mimiMimi Video imekataa kufunguka.
Kama vipi download alafu tumia "vlc" au "video player"Hata mimi
We zombie haujuiKomando komando komando waambie sisi ndivyo vipensi komandoooo....
na Simba la masimba dangoteeee ...
Hiyo video mbona haisomeki?Huyu jamaa anaunguza karanga kwa kutumia kemikali ya "sulphuric acid" na kutembeza mtaani! Karanga! Karanga! Waswahili hatutaki shida ya mambo ya kuthibitishwa ubora tunaona tunanyanyasika!
View attachment 2954811