Wale wa kulakula hovyo hivyo vyakula vya mtaani! Mnalishwa vilivyounguzwa na kemikali

Ndo kusema hiyo acid ni bei chee kiasi hicho mpaka aitumie kwa namna hyo anywa inafikirisha kibiashara
 
Ndo kusema hiyo acid ni bei chee kiasi hicho mpaka aitumie kwa namna hyo anywa inafikirisha kibiashara
Lakini si unaona mwenyewe mzigo wa karanga pembeni? Acid inakaranga fasta! Hii acid hiko nyingi maabara zq shule
 
Back
Top Bottom