niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,502
- 4,938
Hivi yule wa Tinde bado yupo?
Jamaa akili nyingi sana.Ndioompwaaaa katamuuuu balaaa walitiondoleaa ...zetu bana m ningeshauri wamwonyeshe jinsi ya kuboresha zaidi
Depal kwani hizo mboga unapewa bure?Unataka kulefusha mjadala?
Nikujibu kwa kifupi…nani amekwambia nakula mboga za kununua? My friend, nimezungukwa na wakulima’ wakulima product za SUA, wanaolima kimaandishi na kiuhalisia…ABC ninazo nyingi sana.
Takataka pekee nayokula ni chips mayai, na soda… na soseji kwa nadra sana
Hii kitu, Waliosema ni Haramu ..kuna namna walikula hii wakatenda dhambi mbele za Bwana.Ule nkate wa bwana walitakiwa kutilisha hii kitu mkuu napeleka ombi kwa papa...
Mkuu kuna sehemu mbele ya Itigi ni kituo maarufu sana cha Train letu la kwenda Baraa..pale pana kuku hujawahi ona.Hivi yule wa Tinde bado yupo?
Unajuaaa kisa cha kuita harambeeHii kitu, Waliosema ni Haramu ..kuna namna walikula hii wakatenda dhambi mbele za Bwana.
Naagiza iandaliwe mchana.
Labda walikula ndege John.Mkuu kuna sehemu mbele ya Itigi ni kituo maarufu sana cha Train letu la kwenda Baraa..pale pana kuku hujawahi ona.
Kuna jamaa na familia miaka ya 2007 walikula kisamvu pale...😀😀😀 na kuku wa kukaangaa..aisee waliharisha mpaka tunafika Dodoma hali zilikuwa mbayaaa..
Kuku wa vile sijawahi ona hii Tanzania😀😀😀
AchA tuu mkuuMkuu pole sana..Hakika nyama zilikuwa tamu aisee..kumbe ni Paka
Insafisha dhambi kubwaa na ndogoHaswaaa.mpwaa
sifa no 1
Insafisha dhambi kubwaa na ndogo
2.inarekebisha ndoa zilizo icu na zenye msuguano kama una matatizo ya ndoa mpeleke mwenzi mkaonje hii kama ajakupa syyle zote sikuhio
3.&4 nisitiri mpaka 2024 mpwaaaa wasijeongezeka wateja mwakampya tukakosaa chakula tar 1 jan
Shida umesema unazungukwa na wakulima..!! Nikajua hawakuuzii bali wanakupa bure..!! 😂 😂 😂 Kama unalima mwenyewe sawa..!!Na kupanda bustani pia hujui? 😂😂
Hahaaa jf hairuhusu nikufafanulie zaidi.Shida umesema unazungukwa na wakulima..!! Nikajua hawakuuzii bali wanakupa bure..!! 😂 😂 😂 Kama unalima mwenyewe sawa..!!
Kuna inboboHahaaa jf hairuhusu nikufafanulie zaidi.