Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,350
HahahahaWapi wanaolipa all bills na bado mke ukimwambia akutengee chakula atakuonyesha ma hotpot jikoni uyafate ujipakulie .
Bado atakuvutia mdomo ukitaka kumsex!
HahahahaWapi wanaolipa all bills na bado mke ukimwambia akutengee chakula atakuonyesha ma hotpot jikoni uyafate ujipakulie .
Bado atakuvutia mdomo ukitaka kumsex!
Mkuu unaonekana unaexperience nahizi mambo,umeongea kwahisia Sana mkuuNdoa ni hasara kwa mwanaume, faida kwa Mwanamke!
Hakuna mtu wa kukusaidia maisha yako as a man hata kama Mwanamke wako ni mtoto wa Rais...
Mwanaume ni kufight kwa ajili ya maisha yako bro
As a man you only have God and yourself to save you,all the rest are against You!
Pambana kufa kiume... elewa upo mwenyewe basi...
Hakuna kuingia Kwenye makubaliano yoyote yale na Mwanamke...
Ni kosa kwa mwanaume kuwaza Kuoa Mwanamke wa kumsaidia kiuchumi
Chako chako bro, chake chake huko.
Je jasho lako atalila Mtu mwingine
Hawa parasites wanaokuja kwa kisingizio cha upendo!
Kwanza Upendo wanaujua basi zaidi ya janjajanja,uongo, unafiki,uhuni tu na manipulation...
Kwa mwanaume lazima uwe na Vielement vya ubinafsi, dharau, roho mbaya, chuki nao kidogoo kwa wanawake na Kuwachukia kidogo ndipo utawaweza...
Nenda nao kwa upendo upendo uone... A little hate asee!
Ubongo wahuyo jamaa ushanitafsri mkewe kama adui,ndio maana ningumu kudinda nahilo kiko wazi ,ngumu mwanamke mwenye Tabia tajwa hapo juu,ukashiriki nae mapenzi kwahamu au juhudi au bashasha zote ,kwahyo mkuu nikweli kabisaKuna jamaa yangu yeye mpaka alijihisi ni hanithi kumbe kamchoka mwanamke wake aliyekuwa na kiburi, hila, ujeuri na dharau, of recent kila akikutana naye kitandani baada ya kuwa pamoja kwa miaka kumi ngoma haidindi kabisa ila akienda nje anapiga mashine mchepuko wake hadi unakimbia unaacha chupi kwa msela.
Sio kweli mkuu,cheo humfanya mwanamke Kua nnajeuri nakibriInferiority complex ndo inamsumbua kutokana na kipato cha mke wake.
Anaanza cheap mentalities kwamba mke wake atakuwa anagongwa nje, wala mafanikio yake hayatokani na elimu, bidii nk.
Pia mfumo dume utakuwa unamhangaisha si bure.
Believe me, cheo hakimfanyi mwanamke kumdharau mwanamme. Muanzilishi ni mwanamme na anajificha katika kivuli cha mafanikio ya mke wake kwamba mafanikio yake ndo yanampa kiburi.
Nikweli mkuuMwanamke asiyefurahia hayo hapaswi kuolewa kabisa! Sababu those are the salient features of a wife !
Mke gani htaki kupika, kufua wala kufanya lolote linalohusu ndoa? Ana uhalali gani wa kuwa mke wa mtu?
Kwanza from my own perspective kuhusu chemistry ni Ile Hali ya kuwa na ka upendo flani plus utu na huruma kwa watu sio kwangu Mimi tu na hata kwa wengine, pia good chemistry ni Ile Hali mtu anakusoma na kuelewa jinsi ulivo when ur high yeye atakuwa low and virce versa, pia kusameheana na kuwa best friends, someone who doesn't get tired of you no matter what circumstances ilivo, Yani mnaelewana mnasameheana, na kuchukuliana kuwa huyu mwenzangu yuko hivi ila as long as Kuna mambo mazuri anafanya let's me focus on that's positive side, na hii minor weakness niiache ka ilivo.Unaelezea vizuri Sana,hope Ur were good at school,je naomba msaada kuhusu Kua na chemistry namwenzio nikuaje,nakwann inaonekana nimuhimu snaa kua nachemistry ktk long life relationship,msaada tafadhali
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hapana kwa kweli! Hayo mahaba wasifanye mbele yangu!siwi mnaafiki lazima kiumane!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
DuhVery funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially
DuhaiseeeNGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo anavyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
ghafla tu?Sio kweli mkuu,cheo humfanya mwanamke Kua nnajeuri nakibri
Keep wishing and speculating, but grow some balls somewhere along the way.We endelea kumuita strong man wako
Wakati unamleta pigo za kibeijing
Somewhere atakuwa yuko treated like a king and anakuacha na agenda zako za kibeijing like kama ha-feel kitu.
Mmh pole aiseeNdivyo dunia ilivyo mama. Huwa nafikiri ni mgonjwa wa akili japo haonyeshi dalili nyingine za aina hiyo huko nje. Ni mimi ninayekaa naye tu ndiye ninaye mjua.
Mmh hapa ndo pabaya! Ila wanawake hapa tu ndo huwa tunakosea kuwajaza ujinga wattTena kwa miaka 12! Ndio napambana kwa ajili ya watoto lakini ananionyesha kwa watoto kuwa mi ni katili! Na watoto wananichukia.
haki umenichekesha leoSijaoa ila naishi na pepo juzi nmesafiri tu kauza Friji narudi nauliza naambiwa nmeongezea naagiza cm hiv ndugu zangu ni sawa ..nahitaji kuanzisha Uzi ili mnipe ushauri wakuu...sijui niendapo.
Kweli nakuambia,Mimi ni old school mama mkwe,falsafa zangu nazijua mwenyewe, labda awe mgonjwa huyo mke!!!
khaaaaAsante. Hizo ni dondoo tu ndugu. Naweza kuandika kitabu. Pesa ya matumizi ya nyumbani leo kanunua krismas tree!! Na dini inasaidia sana. Bila dini hauwezi.
Hapana mchezo kabisa😅 unawaambiaje mademu wanaokaza shingo kwa waume zaoKweli nakuambia,Mimi ni old school mama mkwe,falsafa zangu nazijua mwenyewe, labda awe mgonjwa huyo mke!!!
Ntadeki Mimi,na kufanya hizo kazi nikimkuta anafanya mwanangu!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app