Impimpi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 464
- 949
Mi nilifunga ndoa kanisani saa 10 jioni then nikaenda hotelini kupiga picha badae kuanzia saa 12 jioni tafrija ikaanza nyumbani yani wamama wananzengo wakaingia jikoni msosi wa laki sita au saba hata ikija mitaa miwili hawamalizi ...changamoto ipo kwenye vinywaji