Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,925
- 7,952
Nimekuwa nikiona mara kwa mara humu ndani vijana wengi wakilalamika kuhusu costs za sherehe za harusi na kuona kama vile ni kikwazo kwa wao kuweza kuuaga ubachela.
Ninachopenda kuwaambia ni kuwa inawezekana kabisa kufanya sherehe kadri ya uwezo wako wewe,bila kukimbizana na watu kuchangishana au kubaki na madeni lukuki baada ya harusi.
Leo naleta ushuhuda wa harusi yangu binafsi ambayo bajeti ya ile sherehe ilikuwa chini ya 2.3milioni na sikuchangisha hata mia kutoka kwa mtu(huu ndio ulikuwa uwezo wangu mimi na mwenzangu). Hivyo tulihakikisha kuwa bajeti ya kitu tutakachofanya kinaendana na uwezo wetu na si vinginevyo.
Hivyo basi,hata kama huna milioni 2,unaweza kuandaa sherehe hata ya shilingi elfu 70 kama huo ndio uwezo wako. Inawezekana!!!
Maana kuna watu wanaamini kuwa bila milioni 20 au 15 huwezi fanya kitu kizuri. Cha msingi ni kupanga bajeti na kuhakikisha kuwa inaendana na mlicho nacho mfukoni,mnapunguza vitu unnecessary mpaka pale bajeti yenu itakapokuwa ndani ya uwezo wenu!! Niliwahi kuhudhuria harusi ambayo bajeti yake ilikuwa ni shilingi elfu 50.
Bahati nzuri pia, menzangu sio mtu wa kupenda masherehe makubwa makubwa kwa hiyo tulikibaliana vizuri tuu wala hakukuwa na shida.
Hatukutaka kuanza kukimbizana na watu michango ya harusi mpaka iwe kero, au tumalize harusi tuanze maisha na madeni kwa sababu ya sherehe ya masaa machache tuu. Hasa ukizingatia kuwa uwezo wetu kiuchumi ulikuwa ni.mdogo pia. Tulifanya kitu simple sana.
Bajeti ilikuwa kwa watu 60; ambao walikuwa ni ndugu zetu wa karibu ma close friends wachache.
Pesa kubwa ilienda kwenye chakula na vinywaji; ukumbi tulipewa bila kuulipia as i said hoteli ya nemax royal iliyopo kinondoni(kwa sababu vinywaji na msosi tulichukua hapo hapo).
Hakuna cha maids wa bibi harusi zaidi ya matron wa bi harusi na mpambe wangu.
Gharama nyingine ndogo ndogo zilikuwa ni keki,picha,shampeni. Ukumbi walitupangia tuu viti na meza vizuri na high table(no mapambo complicated).
MC akawa dada yangu, na tulitumia Public addressing system ya ukumbi tuka connect our laptop bro akawa DJ.
Mimi binafsi nilipenda sana jinsi ilivyokuwa kiukweli,it was nice and no stress!!! Na,hata waliohudhuria walisema nimefanya,kitu kizuri sana.
Bajeti(kadri ninavyokumbuka)
1.chakula
20,000 @ plate X 60=1200000
2.vinywaji(bei ilikuwa ni moja, Tshs 2,000 kwa bia au soda)
Kwa bia 4 @ 2000X 40=320000(kwa watu wetu tuliowaalika coz ni wa karibu,tunawajua personally,i tulijua wanywaji hawatazidi 40)
Kwa soda 3@ X 2000 X 20=120000
Picha za mnato=140,000
Keki= 250000
Usafiri wa wakwe(tulichukua noah ya mshikaji tukampa 40,000 na kuijaza mafuta)
Gari ya maharusi tulitumia ya sister
Kupambwa bi harusi + kupamba gari ya maharusi 150,000
Champane @ 15,000 X 3=45,000
TOTAL 2,265,000.
FANYA MAMBO KWA KADRI YA KIPATO CHAKO,INAWEZEKANA, IT BEGINS WITH YOU.
Ahsanteni
Ninachopenda kuwaambia ni kuwa inawezekana kabisa kufanya sherehe kadri ya uwezo wako wewe,bila kukimbizana na watu kuchangishana au kubaki na madeni lukuki baada ya harusi.
Leo naleta ushuhuda wa harusi yangu binafsi ambayo bajeti ya ile sherehe ilikuwa chini ya 2.3milioni na sikuchangisha hata mia kutoka kwa mtu(huu ndio ulikuwa uwezo wangu mimi na mwenzangu). Hivyo tulihakikisha kuwa bajeti ya kitu tutakachofanya kinaendana na uwezo wetu na si vinginevyo.
Hivyo basi,hata kama huna milioni 2,unaweza kuandaa sherehe hata ya shilingi elfu 70 kama huo ndio uwezo wako. Inawezekana!!!
Maana kuna watu wanaamini kuwa bila milioni 20 au 15 huwezi fanya kitu kizuri. Cha msingi ni kupanga bajeti na kuhakikisha kuwa inaendana na mlicho nacho mfukoni,mnapunguza vitu unnecessary mpaka pale bajeti yenu itakapokuwa ndani ya uwezo wenu!! Niliwahi kuhudhuria harusi ambayo bajeti yake ilikuwa ni shilingi elfu 50.
Bahati nzuri pia, menzangu sio mtu wa kupenda masherehe makubwa makubwa kwa hiyo tulikibaliana vizuri tuu wala hakukuwa na shida.
Hatukutaka kuanza kukimbizana na watu michango ya harusi mpaka iwe kero, au tumalize harusi tuanze maisha na madeni kwa sababu ya sherehe ya masaa machache tuu. Hasa ukizingatia kuwa uwezo wetu kiuchumi ulikuwa ni.mdogo pia. Tulifanya kitu simple sana.
Bajeti ilikuwa kwa watu 60; ambao walikuwa ni ndugu zetu wa karibu ma close friends wachache.
Pesa kubwa ilienda kwenye chakula na vinywaji; ukumbi tulipewa bila kuulipia as i said hoteli ya nemax royal iliyopo kinondoni(kwa sababu vinywaji na msosi tulichukua hapo hapo).
Hakuna cha maids wa bibi harusi zaidi ya matron wa bi harusi na mpambe wangu.
Gharama nyingine ndogo ndogo zilikuwa ni keki,picha,shampeni. Ukumbi walitupangia tuu viti na meza vizuri na high table(no mapambo complicated).
MC akawa dada yangu, na tulitumia Public addressing system ya ukumbi tuka connect our laptop bro akawa DJ.
Mimi binafsi nilipenda sana jinsi ilivyokuwa kiukweli,it was nice and no stress!!! Na,hata waliohudhuria walisema nimefanya,kitu kizuri sana.
Bajeti(kadri ninavyokumbuka)
1.chakula
20,000 @ plate X 60=1200000
2.vinywaji(bei ilikuwa ni moja, Tshs 2,000 kwa bia au soda)
Kwa bia 4 @ 2000X 40=320000(kwa watu wetu tuliowaalika coz ni wa karibu,tunawajua personally,i tulijua wanywaji hawatazidi 40)
Kwa soda 3@ X 2000 X 20=120000
Picha za mnato=140,000
Keki= 250000
Usafiri wa wakwe(tulichukua noah ya mshikaji tukampa 40,000 na kuijaza mafuta)
Gari ya maharusi tulitumia ya sister
Kupambwa bi harusi + kupamba gari ya maharusi 150,000
Champane @ 15,000 X 3=45,000
TOTAL 2,265,000.
FANYA MAMBO KWA KADRI YA KIPATO CHAKO,INAWEZEKANA, IT BEGINS WITH YOU.
Ahsanteni