Walaji nguruwe watahadharishwa Dar

Mosi: Nkamangi inaelekea hata "Ukristo" haujui vizuri. Na je, "Amri 10 za Mungu" mbona alipewa Nabii Musa lakini Wakristo ndio mme-hijack as if it was Jesus who was given the Commandments??

Pili: Tuachane masuala ya dini na tujadili mada yangu. Mimi sikuwataja Wakristo ila nimewahatarisha "WALA KITI MOTO" - wawe wachina, wahindi, warusi ama waafrika bila kujali dini zao. Swali la kujiuliza ni "how serious is the swine flu or what steps should we Tanzanians take in the event it comes here?"

Over to U all .......

Jesus was not given the commandments, yeye ni sehemu ya utatu mtakatifu ambao ni Mungu Baba, mwana na roho mtakatifu so what's the point of him being given the 10 commandments?. Wakati wa maisha yake hapa duniani aliongelea mengi yaliyo kwenye vitabu vya agano la kale including hiyo torati ya musa na 10 commandment lakini hakugusia mambo ya hoofs. Don't go telling me what I do know or not about my religion coz I know quite a bit.
Tanzania has much more pressing matters to deal with right now, swine flu isnt on the priority list. Good pork-less day!!
 
Kumezuka ugonjwa wa kutisha huko Mexico na pia waliokwenda kutembea wanafunzi (22)na walimu (3)kutoka (NewZealand) wote wameambukizwa na wapo chini ya uangalizi wa serikali ,na Nchi mbalimbali zimeanza kuchukua hatua ya halaka sana ,wanasema ni ugonjwa hatari ulishawahi kuuwa watu milioni kama kumi hivi kwa mpigo.

World Health Organization is calling "a public health emergency of international concern."

The 25 students and teachers at Auckland's Rangitoto College returned to New Zealand via Los Angeles on Saturday.

Fourteen have shown flu-like symptoms, with four "more unwell than others," said Dr. Julia Peters, clinical director of Auckland Regional Public Health Service.

Health Minister Tony Ryall said 10 students tested positive for influenza A. The specimens will be sent to WHO to determine whether it is H1N1 swine influenza. H1N1 influenza is a subset of influenza A.

The WHO results are expected back by midweek. The group remains quarantined at home.

"It's certainly has not been confirmed that they have swine flu," said Dr. Craig Thoinley, medical officer of health in influenza. "We already have provisional information that some of the group have influenza A. We won't know if they have the type of influenza A that is swine flu."

According to the most recent reports, the number of confirmed swine flu cases in the United States stands at 11.

They include nine confirmed cases at or near the Mexican border in Texas and California, and an apparent outbreak at a private school in New York City.

All the patients have recovered or are expected to.

In Mexico, health officials said 81 deaths there were "likely linked" to the swine flu.

U.S. health officials said Friday that some cases of the virus matched samples of the deadly Mexican virus.

In response, South Korea said it will test airline passengers arriving from the United States. Japan will convene a Cabinet meeting Monday to come up with measures to block the entry of the virus into the country
 
Kumezuka ugonjwa wa kutisha huko Mexico na pia waliokwenda kutembea wanafunzi (22)na walimu (3)kutoka (NewZealand) wote wameambukizwa na wapo chini ya uangalizi wa serikali ,na Nchi mbalimbali zimeanza kuchukua hatua ya halaka sana ,wanasema ni ugonjwa hatari ulishawahi kuuwa watu milioni kama kumi hivi kwa mpigo.

World Health Organization is calling "a public health emergency of international concern."

The 25 students and teachers at Auckland's Rangitoto College returned to New Zealand via Los Angeles on Saturday.

Fourteen have shown flu-like symptoms, with four "more unwell than others," said Dr. Julia Peters, clinical director of Auckland Regional Public Health Service.

Health Minister Tony Ryall said 10 students tested positive for influenza A. The specimens will be sent to WHO to determine whether it is H1N1 swine influenza. H1N1 influenza is a subset of influenza A.

The WHO results are expected back by midweek. The group remains quarantined at home.

"It's certainly has not been confirmed that they have swine flu," said Dr. Craig Thoinley, medical officer of health in influenza. "We already have provisional information that some of the group have influenza A. We won't know if they have the type of influenza A that is swine flu."

According to the most recent reports, the number of confirmed swine flu cases in the United States stands at 11.

They include nine confirmed cases at or near the Mexican border in Texas and California, and an apparent outbreak at a private school in New York City.

All the patients have recovered or are expected to.

In Mexico, health officials said 81 deaths there were "likely linked" to the swine flu.

U.S. health officials said Friday that some cases of the virus matched samples of the deadly Mexican virus.

In response, South Korea said it will test airline passengers arriving from the United States. Japan will convene a Cabinet meeting Monday to come up with measures to block the entry of the virus into the country

Nguluwe ndio nini?
 
Ndugu Mtanzania wa kweli Mwiba, uliamanisha Nguruwe? Maana umeandika Nguluwe! Ila niliposoma ile habari yote ndiyo nikagundua kuwa ni Kitimoto aka Haramu
 
Ugonjwa uko transmitted person to person kama mafua ya kawaida, nothing to do with kula Kitimoto.
 
Can people catch swine flu from eating pork?
No. Swine influenza viruses are not transmitted by food. You can not get swine influenza from eating pork or pork products. Eating properly handled and cooked pork and pork products is safe. Cooking pork to an internal temperature of 160°F kills the swine flu virus as it does other bacteria and viruses.

Read more: CDC - Influenza (Flu) | Key Facts about Swine Influenza (Swine Flu)
 
Can people catch swine flu from eating pork?
No. Swine influenza viruses are not transmitted by food. You can not get swine influenza from eating pork or pork products. Eating properly handled and cooked pork and pork products is safe. Cooking pork to an internal temperature of 160°F kills the swine flu virus as it does other bacteria and viruses.

Read more: CDC - Influenza (Flu) | Key Facts about Swine Influenza (Swine Flu)
Kaisome vizuri hiyo habari ili uone kama hakuna mambo ya kulakula,maana ukigusa ukishika ukichunga ukipiga chafya,na unapokula na unapomnyonga na kuwakatia watu sehemu zao sidhani kama wanavaa gloves na unaambiwa ukiipika hadi kwenye temperature hio,sasa unapoamua kufanya Sasa unapoamua kufanya karamu ya nyama choma ujue nyama choma huwa inaunguzwa unguzwa tu kama imepigwa welding sehemu zingine zimeungua zingine zinadondoka damu ,hivyo akili kichwani mwako.
Sasa kwa nini ikaitwa Swine flu na vipi kuhusu wale kuku waliokuwa wakiteketezwa ,take care.

There is no vaccine for it. It started Mexico now it is New Zea land, Spain, and U.S.
 
Last edited:
MWIBA!..
Asante nitaisoma vizuri ila point ilikuwa ni kukuelewesha hata kama huli huyo Nguruwe unaweza kupata huu ugonjwa.
Let say jirani yako anafuga nguruwe na huyo nguruwe ana huu ugonjwa,ukasambaa kuanzia kwake na jirani zake kama wewe.
Vinginevyo na wewe uisome vizuri na wote tuchukue tahadhari incase utafika tunapoishi!..
 
Mmmmmh!

hivi hata ugonjwa wa "Lift-valley" ulipoingia watu mlikuwa mnahamasisha watu wasile nyama ya ng'ombe kiasi hiki au ni ushabiki tu huu? (kama wa simba na yanga)


kwa wanaoogopa kufa wasile ila wakumbuke kufa lazima, kujikinga na kifo hiyari ya mtu.
 
Kaisome vizuri hiyo habari ili uone kama hakuna mambo ya kulakula,maana ukigusa ukishika ukichunga ukipiga chafya,na unapokula na unapomnyonga na kuwakatia watu sehemu zao sidhani kama wanavaa gloves na unaambiwa ukiipika hadi kwenye temperature hio,sasa unapoamua kufanya Sasa unapoamua kufanya karamu ya nyama choma ujue nyama choma huwa inaunguzwa unguzwa tu kama imepigwa welding sehemu zingine zimeungua zingine zinadondoka damu ,hivyo akili kichwani mwako.
Sasa kwa nini ikaitwa Swine flu na vipi kuhusu wale kuku waliokuwa wakiteketezwa ,take care.

There is no vaccine for it. It started Mexico now it is New Zea land, Spain, and U.S.

Anyway Mwiba, on behalf of JF members I would like to personally thank you for information though I do not take Swine. We got the message and please let's take precaution.
 
Haramu ni kwaanaye amini hivyo. Kwa kawaida kila mtu anaimani yake na huenda si vizuri sana ku-challenge imani ya mtu mwingine. Kwa mtazamo wangu, the way Mwiba presents issue, is like he/she is more challenging those using kitimoto. Kama walivyosema wengine, the issue sio kula kitimoto, the issue is to come in contact with the virus. I hope you still remember the bird flue.
 
Hata bible kumbe imekataza kula Nguruwe !

Utamu wa kitimoto wanaujua wanakila. Ukitaka kujua nitafute nitakuonyesha kijiwe ambapo ma-ustaadhi wanapasha moto kitimoto kwa faragha kubwa. I think you will be one of them once you visit and try, or may be you have already tasted.
 
Naam nadhani mnajua kuwa homa ya SWINE ishaanza kutapakaa kila kona na naamini kuwa sisi hatutokuwa immune kwa sababu sisi ni part ya hii globalization

Sasa in the wake of this nadhani ingekuwa bora serikali yetu iaanza kuondoa haya MABUCHA YA NGURUWE yaliyojazana kwenye residential areas kwani hiii homa ya SWINE sidhani ikianza kuuwa watu tutaiweza kuicontain considering hatuna contigency plans hizo

sana sana waheshimiwa wataanza kupanda ndege kwenda kwenye second homes kule London ambako weather ni nzuri kwa sasa and everyone seems to be ok in the wake of credit crunch

haya haya tena watu wa BORDER and IMMIGRATION.WIZARA YA FEDHA, HALMASHAURI YA JIJI na wengineo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom