Walaji nguruwe watahadharishwa Dar

Naam nadhani mnajua kuwa homa ya SWINE ishaanza kutapakaa kila kona na naamini kuwa sisi hatutokuwa immune kwa sababu sisi ni part ya hii globalization

Sasa in the wake of this nadhani ingekuwa bora serikali yetu iaanza kuondoa haya MABUCHA YA NGURUWE yaliyojazana kwenye residential areas kwani hiii homa ya SWINE sidhani ikianza kuuwa watu tutaiweza kuicontain considering hatuna contigency plans hizo

sana sana waheshimiwa wataanza kupanda ndege kwenda kwenye second homes kule London ambako weather ni nzuri kwa sasa and everyone seems to be ok in the wake of credit crunch

shopsyg4.jpg


haya haya tena watu wa BORDER and IMMIGRATION.WIZARA YA FEDHA, HALMASHAURI YA JIJI na wengineo
Mhh GT,kimsingi ishu ya Bucha za Nguruwe umeanza kuiongelea long tyme(na nionavyo mimi malalamiko yako zaidi huelekea kwenye Udini),so nadhani hapa umewapata though itakuwa ngumu kuyavunja hayo Mabucha kama unavyotaka wewe....Nashawishika kuamini kwamba ombi/ushauri wako huu wa sasa wa kuvunja mabucha ya Nguruwe ni kutokana na ugonjwa huu wa Mafua ya kitimoto na si vinginevyo....Tanzania ni secular country bwana so acha watu wauze na kujinafasi na 'ze mduduuuz'(kama itaonekana kwamba ugonjwa huu haujaingia nchini)..Maana hata ng'ombe nao walileta homa ya bonde la ufa,kuku nao ndo kama hivyo mafua ya ndege lakini bado tunaona mabucha ya nyama ya ng'ombe na kuku yapo kwenye residential areas,nayo yaondolewe????????...Wakatabahu
 
Naona sijasikia Tz kutangaza hali yeyote ile kuhusiana na Swine flu ambayo hivi sasa limekuwa gumzo duniani isipokuwa hapa Tanzania ,hivi Waziri husika ameitayarisha vipi Tanzania kutokana na janga hili linalopanda chati kila kukicha.
Serikali imejipanga vipi kukabiliana na uzito wa maambukizi ya Swine-flu au haina habari wala hawafahamu kitu hiki ni nini ?
Tanzania inapokea watalii kutoka sehemu nyingi duniani na huko wanakotoka mambu si mazuri kutokana na gonjwa hili hatari UN wameshatangaza asie na mwana abebe jiwe.

Je yapo madawa ya kutosha ambayo yataweza kukabili msimu wa maradhi haya yatakapogundulika kuwa yameonekana na kuhisiwa sehemu fulani ,wananchi wanatayarishwa vipi kukabiliana na tatizo hili ,hatua gani zipo standby kuchunguza na kuwachunguza wageni wanaoingia kwa njia ya anga au mipakani.
Kinga ni bora kuliko Tiba ,Waziri upo ?
 
Mkuu Mwiba, kama wewe hujasikia tupo wengine tuliosikia serikali (mawaziri na si waziri) ikitoa tamko kuhusiana na hiyo swine fever. Kuna siku nilimsikia naibu waziri wa mifugo na uvuvi, Dk Wanyancha na kuna siku lilitolewa tanmko rasmi na wizara ya afya. kwa hiyo, wanajua, ni wewe tu ndiye hukusikia wakati walipotoa tamko
 
Naona sijasikia Tz kutangaza hali yeyote ile kuhusiana na Swine flu ambayo hivi sasa limekuwa gumzo duniani isipokuwa hapa Tanzania

WAZIRI ANAOGOPA KUWAUDHI "WANAOKULA KITI MOTO NA WAUZAJI WA BIDHAA HII TAKA-TIFU".

gonjwa hili hatari UN wameshatangaza asie na mwana abebe jiwe.

UN SPOKESPERSON'S MORNING HEADLINES FOR THURSDAY, 30 APRIL 2009

SWINE FLU: The World Health Organization took the unprecedented step yesterday of warning that the world is probably on the verge of a pandemic, as new cases of swine flu mounted, the first death was reported in the United States and the dangerous virus appeared to arrive just outside the nation's capital. (WP) WHO raised the global alert level on Wednesday to five out of six. (FT)

Announcing the latest alert level after an emergency WHO meeting in Geneva, Director General Margaret Chan urged all countries to activate their pandemic plans, including heightened surveillance and infection-control measures. (BBC) While she emphasized the need for calm, at times she spoke as if a pandemic had already begun, saying, for instance, "W.H.O. will be tracking the pandemic." (NYT)

The increase in the alert level could prompt a variety of measures, including more intensive efforts to identify cases and stricter measures to prevent the illness's spread, such as discouraging or banning public gatherings. (WP)

As the swine flu virus spread to new locations as far apart as Peru and Switzerland on Thursday, Mexicans braced for a national shutdown of offices, restaurants, schools, museum and even the stands of soccer stadiums in an attempt to slow the spread of the disease. (NYT) In Mexico, at the epicentre of the outbreak, people have been urged to stay at home over the next five days. (BBC)

Senior Latin American and international health officials were alerted to the swine flu outbreak in Mexico at least two weeks before they publicly raised the alarm, sparking questions of whether more could have been done to prevent the spread of the infection around the world. (FT)

Manufacturers warned on Wednesday that limited stocks of a future swine flu vaccine could be distributed on a "first come, first served" basis, leaving hundreds of millions of people in poorer countries without protection. (FT)

The world cannot fight the swine flu unless the international community steps in, writes columnist Antara Dev Sen. We need to address trade practices, the norms of poultry and livestock industries, lifestyle changes, health infrastructure, access to drugs and general education. Then we need to put in practice that marketing mantra of successful worldwide challenges: think global, act local. (Asian Age, New Delhi, Op-Ed)


Source: un.org
 
Naona sijasikia Tz kutangaza hali yeyote ile kuhusiana na Swine flu ambayo hivi sasa limekuwa gumzo duniani isipokuwa hapa Tanzania ,hivi Waziri husika ameitayarisha vipi Tanzania kutokana na janga hili linalopanda chati kila kukicha.
Serikali imejipanga vipi kukabiliana na uzito wa maambukizi ya Swine-flu au haina habari wala hawafahamu kitu hiki ni nini ?
Tanzania inapokea watalii kutoka sehemu nyingi duniani na huko wanakotoka mambu si mazuri kutokana na gonjwa hili hatari UN wameshatangaza asie na mwana abebe jiwe.

Je yapo madawa ya kutosha ambayo yataweza kukabili msimu wa maradhi haya yatakapogundulika kuwa yameonekana na kuhisiwa sehemu fulani ,wananchi wanatayarishwa vipi kukabiliana na tatizo hili ,hatua gani zipo standby kuchunguza na kuwachunguza wageni wanaoingia kwa njia ya anga au mipakani.
Kinga ni bora kuliko Tiba ,Waziri upo ?

Mkuu Serkali ilishatoa tamko, ila swala la jinsi gani wamejiandaa (madawa etc) mhh!! sijui...
 
WAZIRI ANAOGOPA KUWAUDHI "WANAOKULA KITI MOTO NA WAUZAJI WA BIDHAA HII TAKA-TIFU".
Mkuu! Swine flu hauipati kwa kula kitimoto, hili jina la Swine Flu ni la kipumbavu sana. WHO from now on wanasema hawatakuwa wanatumia jina hilo maana limeleta confussion. Inaitwa H1N1 virus now.
 
Jamani msituulie viti moto wetu tafadhali Ijumaa hii tukitoka Masjid tunaenda kamata!
 
Eti Obama nae kaambukizwa ,kuna tetesi kama hizo sasa sijui kama ni yeye au mlinzi wake ila wote wamepelekwa kwenye zahananti kukaguliwa ,majibu yamekuwa mazito kutolewa.
 
Mkuu! Swine flu hauipati kwa kula kitimoto, hili jina la Swine Flu ni la kipumbavu sana. WHO from now on wanasema hawatakuwa wanatumia jina hilo maana limeleta confussion. Inaitwa H1N1 virus now.
Wataibadilisha kila majina kwa sababu tu imeanzia kwao na inaenea kama vumbi la upupu ,kwani hata wale virusi wa AIDS nao wana jina mbona hawakubadilisha na kila siku wanadai ilianzia EastAFrika
 
Sasa in the wake of this nadhani ingekuwa bora serikali yetu iaanza kuondoa haya MABUCHA YA NGURUWE yaliyojazana kwenye residential areas kwani hiii homa ya SWINE sidhani ikianza kuuwa watu tutaiweza kuicontain considering hatuna contigency plans hizo

sana sana waheshimiwa wataanza kupanda ndege kwenda kwenye second homes kule London ambako weather ni nzuri kwa sasa and everyone seems to be ok in the wake of credit crunch

haya haya tena watu wa BORDER and IMMIGRATION.WIZARA YA FEDHA, HALMASHAURI YA JIJI na wengineo

Ndugu umeambiwa it is a person to person contact na sio contact kutoka kwa nguruwe kwenda kwa binadamu. Na ndio maana hata jina limebadilishwa maana inaonekana watu mmeshapata kisingizio cha kuteketeza kitimoto. Ningekushukuru kama ungeishauri serikali iwataadharishe watu huko Dar na penginepo waache kusongamana e.g. kariakoo, kwenye daladala, mahospitali. Suala la usafi wa mikono kila upigapo chafya na kujitenga na makundi ya watu ni la muhimu zaidi. Pia kama hakuna ulazima epuka kusalimiana na watu kwa kupeana mikono maana Waswahili bila ya kupeana mikono hiyo inakuwa si salaam. Na ukizingatia Dar maji ni ya shida mtu akipiga chafya atakaa na mikono isiyooshwa karibu siku nzima na hapo hapo atapeana mikono na watu kibao. Hizo ndio precaution tulitakiwa kuzichukuwa na si kuanza kubomoa bucha za kitimoto!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom