King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Tena mvivu walau kushuka Kwenye gari walau Katoto ka Watu kamnuse na kumkumbatia!
Baba Ana roho ya kipekee huyu
Duh! Dhaifu(jk) huwa ni noma! Si angegawa japo pencil kwa huyu mtoto?
Umeona eeh? Prioritisation ndo ugonjwa wake. Haina tofauti na ujenzi wa daraja la kgmboni wakati hakuna hospitali na madawa ya kutosha.