chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,820
- 23,121
Mara ya mwisho, niliingia ktk period 8 july, 2013, mwezi uliofuata sikuona siku zangu.
last menstrual cycle yako kama ilikuwa tarehe 8 July 2013 hesabu zinaniambia delivery date itakuwa tarehe 15 April 2014. Kuwa mvumilivu mama ingawa kunatokea mabadiliko kidogo kutokana na mabadiliko ya siku katika mwezi. E.g mwenzi mfupi na mrefu.