Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,126
Swali langu ni Je ( Kaburi gani ambalo lilitembea na maiti?) Nawaombeni munijibu asanteni
Swali langu ni Je ( Kaburi gani ambalo lilitembea na maiti?) Nawaombeni munijibu asanteni
Lipo Kaburi lililotembea na maitikweli kabisa...
Umekosea jibu jaribu kunijibu tenakaburi moja lipo pale kilema kisangiro.
Maswali yangu ni magumu kuyajibu inataka usome sana ndio waweza kunijibu.Mkuu,
Maswali yako bana yanashangaza!....Si utujuze tu?
umekosea Kaburi haliwezi kuwa ni tumbo jaribu tena.Tumbo.
Haya maswali magumu inata usome vitabu vya zamani ndio unaweza kujuwa ni kitu gani hiyo Kaburi kutembea na maiti.kwani leo MziziMkavu umeamua kututega na vitendawili....
jitahidi utapata majibu mazuri tyu mkuuMziziMkavu toka uanze kuuliza maswali humu hata siku moja sijawai kujibu...stay in touch JF...lol..
Hata upige makonzi huwezi kupata jibu la swali langu hilo hahahahahahNipigie makofi, jibu nimepata.
mimi nitajibu ikiwa Wakuu Wa hii Jamii forums The Great Thinker watakapo shindwa hahahahahahahahahna wewe jibu hili!!!!maiti gani ilitembea na kaburi?
Mkuu X-Paster Umepata Nakupa hongera hoyeeeeeeeeeee Jamani humu ndani maswali yangu mpaka mujibiwe na Ma Moderator? Hakuna humu ndani Members wa The Great Thinker?Sayyidna Yunus Alayhi salaam kwa jina lingine ni Nabii Yona, mwana wa Amitai
wakristu wangejuaje?? au great thinker ni mtu anayejua dini zote??Mkuu X-Paster Umepata Nakupa hongera hoyeeeeeeeeeee Jamani humu ndani maswali yangu mpaka mujibiwe na Ma Moderator? Hakuna humu ndani Members wa The Great Thinker?
kaburi,maiti!! Naogopa !!swali langu ni je ( kaburi gani ambalo lilitembea na maiti?) nawaombeni munijibu asanteni