Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,355
- 33,194
Swali lenyewe ni hili ( Ni nani ambaye ni mmoja hana wa pili wake)? Nawaombeni munijibu kwa ufasaha wa maneno asanteni sana.
Hongera mkuu umepata Mbona leo mapema umepata?Mungu pekee.
Hongera mkuu umepata mbona leo mapema umepata ? Swali langu halikuwa gumu?mungu.
Ndio tunapimana akili mkuu wanguAh Mizizi jamani, hizi quiz zako sasa,
nmetoka kupasua kichwa kule kwenye jina katika sehemu ya mwili, mara kuna hili tena.
Mi nangoja jibu tu toka kwako
Mkuu unanifurahisha mimi nilipokuwa shule miaka ya sabini niliwahi kumuliza Mwalim wangu mkuu wa shule ya msingi maswali magumu kiasi alikuwa ananishangaa na alikuwa ananiuliza wewe unayapata wapi hayo maswali? Mwalim wangu mkuu wa shule alikuwa anafundisha darasa kwetu somo la Siasa.Mkuu sio haki bana maswali gani magumu hivo... alafu ile thread nyingine umetoa jibu ambalo natafuta njia ya ku-prove lakini ina bounce...
Hongera mkuu umepata Mbona leo mapema umepata?
Hongera mkuu umepata mbona leo mapema umepata ? Swali langu halikuwa gumu?