Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,817
Wakuu katika Kutafuta kazi nimeenda Makao makuu ya Organizations nyingi ambayo yako Dar es Salaam imekua kama kazi bure wakuu
Nimeenda Ofisi moja nikamuulizia HR nikaambiwa una appointment naye? daah nikasema ndiyo akaniambia haya nimwambie nani anamuita nikamwanbia yule Dada akasema sorry huwezi kumuona.
Nikaenda Ofisi nyingine nayo hivyo hivyo tena nilisema sina appointment naye akasema huwezi kumuona nikawa mkweli nikasema Dada mimi natafuta kazi akasema Kaka wamekuja wengi naona hautapata
Hii technique imesha fail wakuu nikienda kwenye Branch naambiwa Hawana mamlaka ya Kuajiri naombeni msaada wakuu!
Nimeenda Ofisi moja nikamuulizia HR nikaambiwa una appointment naye? daah nikasema ndiyo akaniambia haya nimwambie nani anamuita nikamwanbia yule Dada akasema sorry huwezi kumuona.
Nikaenda Ofisi nyingine nayo hivyo hivyo tena nilisema sina appointment naye akasema huwezi kumuona nikawa mkweli nikasema Dada mimi natafuta kazi akasema Kaka wamekuja wengi naona hautapata
Hii technique imesha fail wakuu nikienda kwenye Branch naambiwa Hawana mamlaka ya Kuajiri naombeni msaada wakuu!