matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,590
- 15,385
Kwa uzoefu wangu mdogo, na nchi nyingi nimezijifunza kwa kusoma na kufuatilia maisha yao naona Tanzania licha ya madhaifu yetu ni sehemu bora sana.
Unaweza kwenda popote ukapokelewa utadhani mlifahamiana miaka mingi iliyopita.
Kama hauna ishu za kisiasa na ujanjaujanja maisha yako bomba sana.
Changamoto nyingi kama utazitatua mwenyewe mfano umeme ukafunga Solar au Backup Genset, Maji ukachimba kisima, etc unaishi vzr tu.
Nchi nyingine nashauri twendeni tukatalii tu, ila maisha ya bongo kama unajichanganya na wananzengo yako safi sana.
Nyie mliotembeatembea huko duniani kuna nchi gani bora zaidi ya hii bongo kiamani na mahusiano ya kijamii
Unaweza kwenda popote ukapokelewa utadhani mlifahamiana miaka mingi iliyopita.
Kama hauna ishu za kisiasa na ujanjaujanja maisha yako bomba sana.
Changamoto nyingi kama utazitatua mwenyewe mfano umeme ukafunga Solar au Backup Genset, Maji ukachimba kisima, etc unaishi vzr tu.
Nchi nyingine nashauri twendeni tukatalii tu, ila maisha ya bongo kama unajichanganya na wananzengo yako safi sana.
Nyie mliotembeatembea huko duniani kuna nchi gani bora zaidi ya hii bongo kiamani na mahusiano ya kijamii