Wakuu hata kazi ya bure hamna?

ndugu yenu naangamia kwa kukosa kazi ya kujishuhulisha kabisa


Kwanza pole Sana mkuu .

Ushauri

Ila usipende kulalamika kwa maisha unayopitia jitahidi kuwa positive kila wakati usioneshe hali ya kuonewa huruma Ila onesha hali ya kuwa unauwezo wa kufanya jambo na kutoa matokeo.


Zingatia haya mambo.

@ Kuwa na positive thought
@ kuwa na Imani kuwa utafanikiwa
@ Endelea kujiboresha unaweza kuwa
na degree Ila degree haitoshi
kupata kazi kwa haraka bali uwezo

@ Japokuwa umesomea uhasibu Ila jaribu kufanya mambo tofauti kwa kipindi hiki ambacho hujapata Ajira, mfano waweza jikita katika biashara za watu kwa mfumo wa kuongeza thamani.

@ Pia kuna NGO nyingi Sana Arusha unaweza kwenda ukajitolea na mwisho ukapata kazi rasmi.

Mwisho tumia kanuni inaitwa "raise your hand"

Haijalishi unajua nini au umesoma nini jitahidi uanze kuonesha uwezo wako katika career yako kupitia maofisini , mtandaoni n.k

Hakikisha unazingatia gratitude (kushukuru ) na kuwa competency.


Mfano Mimi kazi yangu huwa natoa ushauri na psychotherapy pamoja na kufanya mentorship bure katika mtandao huu wa JF na katika WhatsApp na Facebook hivyo muda ukifika wa kuomba kazi katika NGO tayari ntaonekana easily.

Be a stater
 
Wakuu nina degree ya Accounting and Finance nipo Arusha jinsia ni mwanaume kukaa home kunachosha. Kama kuna mtu ana sehemu anataka hata mtu wa kumbebea mafile Arusha mimi nipo.
Mungu akutangulie 🙏
 
Utajipata tu ukiwa unatoka hata bila kujua unakwenda wapi!!!

KAZI ni kipimo cha UTU
 
Pole kwa unayoyapitia.
Kwa wingi wa thread ulizoziandika kwa kipindi kifupi kuhusiana na uhitaji wako wa ajira, inaonesha wazi umekabwa haswa.

Pitia kwa utulivu ushauri uliopewa na wadau katika hizo nyuzi zako , nina imani utapata mlango wa kutokea.
sawa sawa mkuu
 
Kimbia sasahivi wahi TBL dar es salaam kajaribu bahati yako.
Na uje na majibu hapa.
Naomba jina lako. Nitakuwa wakwanza kukuuliza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom