figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Kile kipindi kinacho onyesha maisha halisi ya mtanzania ndo kinaendelea sasa hivi startv. hiki kipindi mi naona kinamuumbua Rais wetu kikwete sababu ni tofauti na miaka hamsini ya TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA...sijui nini. angalia mwenyewe halafu baadae tujadili ulichokiona. naomba ccm nao waangalie wanachojivunia. Mia