Niwaombe wakurugenzi wa Benki ya CRDB na NMB wawekeeni ma afisa mikopo wenu mitego ya Rushwa maana wanasumbua sana, wekeni katika Wilaya zote na Branch zote nchi nzima, nilifikiri ni peke yangu nahitaji mkopo halafu nazungushwa kama vile napewa hela ya bure au ni msaada.
Niliomba Mkopo CRDB Bank tawi la () wamenisumbua mno utafikiri hawajui kazi kumbe wanajua wanacho kifanya, nikaenda NMB tawi la () hivyo hivyo nikamtamkia nitampa chake ghafla akanambia mkopo utatoka ndani ya siku 3 hapo nikiwa tayari ni miezi 3 toka nimekamilisha taratibu zote kama mtumishi wa umma.
sitotaja Tawi wala Mkoa ila Wakurugenzi wa mabenki haya wakiweka mtego watabaini matawi ambayo yana mchezo huu, ni meongea na wenzangu wa 3 wote wamepitia haya sasa naomba wakurugenzi fanyeni hima kumaliza tatizo hili ni kero mno.
PS. Waangalie ma file ambayo ni ya maombi yamekaa mezani kwao zaidi ya wiki 2 kuendelea wawaulize kwann yapo huku yakiwa yamesha kamilisha taratibu zote, watakua a kigugumizi ndio hao hao.
Niliomba Mkopo CRDB Bank tawi la () wamenisumbua mno utafikiri hawajui kazi kumbe wanajua wanacho kifanya, nikaenda NMB tawi la () hivyo hivyo nikamtamkia nitampa chake ghafla akanambia mkopo utatoka ndani ya siku 3 hapo nikiwa tayari ni miezi 3 toka nimekamilisha taratibu zote kama mtumishi wa umma.
sitotaja Tawi wala Mkoa ila Wakurugenzi wa mabenki haya wakiweka mtego watabaini matawi ambayo yana mchezo huu, ni meongea na wenzangu wa 3 wote wamepitia haya sasa naomba wakurugenzi fanyeni hima kumaliza tatizo hili ni kero mno.
PS. Waangalie ma file ambayo ni ya maombi yamekaa mezani kwao zaidi ya wiki 2 kuendelea wawaulize kwann yapo huku yakiwa yamesha kamilisha taratibu zote, watakua a kigugumizi ndio hao hao.