Wakulima na wafugaji kumuunga mkono Rais Samia kwenye uchaguzi mwaka 2025

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
8,166
11,569
Anapendwa na anakukubalika na wengi, bara na visiwani.
Anaahidi anatekeleza.
Anasema na anatenda, matokeo yanaonekana kwa uwazi.

Mbegu bora za mazao na mifugo, mbolea na madawa ya wadudu vinapatikana kwa urahisi na kwa wingi wa kutosha. Mwaka huu wa kilimo ni kutoboa bila mbambamba, ashindwe mvivu tu..
Mavuno ya Mwaka 2024 yatawezesha kumlipia fomu ya urais 2025.

Tunasonga mbele kwa uhakika, Amani na utulivu.
Asanti sana Dr. Samia Suluhu Hassan...


IMG_20240108_073156.jpg
 
Anapendwa na anakukubalika na wengi, bara na visiwani.
Anaahidi anatekeleza.
Anasema na anatenda, matokeo yanaonekana kwa uwazi.

Mbegu bora za mazao na mifugo, mbolea na madawa ya wadudu vinapatikana kwa urahisi na kwa wingi wa kutosha.
Mwaka huu wa kilimo ni kutoboa bila mbambamba, ashindwe mvivu tu..
Mavuno ya Mwaka 2024 yatawezesha kumlipia fomu ya urais 2025.


Tunasonga mbele kwa uhakika, Amani na utulivu.
Asanti sana Dr.Samia Suluhu Hassan...

Eti kuna watu wakionaga chochote kuhusiana na yeye wanatema mate!
Hawataki kusikia chochote kumhusu kwa sababu ya ugumu wa maisha aliousabababisha yeye na Serikali yake.
 
Mbegu zenyewe unazosema hazishikiki kwa bei na hazipatikani kwa urahisi. Mimi mwenyewe ni mkulima. Siku zote 1kg ya mahindi ya kupanda tulikuwa tunanunua elfu 6 hadi elfu 9. Sasa hivi bila elfu 13 na kuendelea huwezi kupata!
 
CCM waandae maandamano ya kumpongeza Rais kwa kutuletea mvua
CCM wako bize wanatumia fursa ya msimu wa kilimo..

maandamano wafanye wale wataalamu wa kuzira, watetezi wa nyonge kumbe wasaka tonge maarufu 🐒
 

Attachments

  • IMG_20240105_082414_7.jpg
    IMG_20240105_082414_7.jpg
    508.7 KB · Views: 2
Mbegu zenyewe unazosema hazishikiki kwa bei na hazipatikani kwa urahisi. Mimi mwenyewe ni mkulima. Siku zote 1kg ya mahindi ya kupanda tulikuwa tunanunua elfu 6 hadi elfu 9. Sasa hivi bila elfu 13 na kuendelea huwezi kupata!
Niliko ni elfu 16 zinatosheleza na actually kwa tathimi ya haraka zaidi ya 80% wameshalima wachache wanamalizia....

This year hali ya hewa inashawishi sana, wakulima wa eneo nililopo hawakubabaishwa na bei aise...
 
Anapendwa na anakukubalika na wengi, bara na visiwani.
Anaahidi anatekeleza.
Anasema na anatenda, matokeo yanaonekana kwa uwazi.

Mbegu bora za mazao na mifugo, mbolea na madawa ya wadudu vinapatikana kwa urahisi na kwa wingi wa kutosha. Mwaka huu wa kilimo ni kutoboa bila mbambamba, ashindwe mvivu tu..
Mavuno ya Mwaka 2024 yatawezesha kumlipia fomu ya urais 2025.

Tunasonga mbele kwa uhakika, Amani na utulivu.
Asanti sana Dr. Samia Suluhu Hassan...


Hakuna mkulima wala mfugaji atachagua bomu la kienyeji, huyu tupa kule
 
Back
Top Bottom