Wakufunzi wa UDOM wafukuzwa kwenye nyumba kuwapisha mawaziri waliohamia Dodoma

soma vizuri na elewa nyumba za kuishi siyo ofisi. ni nyumba ambazo zilijengwa kwa ajiri ya wabunge kuishi siyo kufanya ofisi.

Nina wasiwasi na shule uliko soma, maana kama umeshindwa kusoma na kuelewa maelezo madogo hayo je mtihani WA mwisho ulikuwaje
Hiyo Ndy shida ya kupost hku ukiwa ktk days zako!

Ova
 
Njia ya mnafiki ni fupi...jambo lolote ukilifanya kwa kukurupuka tambua litakupa madhara makubwa..Hata Nyerere mambo kama haya hakufanya
 
hao wakufunzi toka 2007 mpaka leo hawajajenga tu wanapanga? si wanalipwa mshahara kwanini wasijenge nyumba zao? subiri wafukuzwe ndio akili itakaa sawa sawa
Kwani hizo nyumba zilijengwa kwa ajili ya Mawaziri na Makatibu Wakuu?
 
hao wakufunzi toka 2007 mpaka leo hawajajenga tu wanapanga? si wanalipwa mshahara kwanini wasijenge nyumba zao? subiri wafukuzwe ndio akili itakaa sawa sawa
Uyu raisi wakati mwingine nampenda tu bure.... Hata kama akili yako imelala vipi itaamka tu.
 
Inawezekana hujui taratibu za upangishajia nyumba,hapo Udom walikua wapangaji tu,hizo nyumba ni za SERIKALI ambayo ndiyo mpangishaji(Land Lord) km mpangishaji ameamua kusitisha mkataba hakuna ubaya kwakua hiyo ni haki yake.
uwezo wako wakufikiri ndio umeishia kwenye huu upamba..$$&&u Uliondika hapa
 
Kwani Tanzania jumla ya mawaziri manaibu na makatibu wao jumla ni wangapi
hawafiki 50 na nyumba zipo 300 eneo la Kisasa bado kuna Maghorofa ya Kikuyu ya CDA, bado kuna Iyumbu nyuimba za NHC,
Inaingia akilini kuwatimua MaLecture na Wanafunzu?
Dodoma mitaani inahitaji wapangaj, hata wanaotaka nyumba za gredi ya juu na swimming pool zipo, za kulipa kwa dola hata za 500,00-
 
Hivi mbona hii nchi porojo Sana sasa kwa nin ma professor wasiheshimiwe hao ma waziri si wateuza tu ifike hatua ccm ijitambue.
 
Notice ina muda wa kutosha kabisa.Pasipo ushabiki wa kisiasa,kama proffesor anaambiwa ahame nyumba ya serikali na aombe upya maombi ya kukaa anachanganyikiwa;ndo wajuwe sisi wanafunzi wao huwa tunazimia kabisa tukipewa notisi huku kitaa.
Unasoma chuo gani mrembo?
 
Wakufunzi wa UDOM kutumia nyumba za serikali mnaona sio sawa ila ofisi za wizara kutumia majengo ya UDOM mnaona ni sawa.

Hii nchi inaendeshwa kibashite-bashite.
 
Halafu ndio wanataka elimu bora,elimu bora itapatikanaje wakati mtoa elimu mwenyewe hata mahali pakulaza ubavu wake ana nyang'anywa.
 
Back
Top Bottom