ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,060
- 49,744
Polisi Huwa mnasumbua boda boda ,mbona Hawa Mawaziri waliobebana kwenye bodaboda hamjawatoza faini Kwa kutovaa helmet?
Acheni double standards
Mbunge wa Chamwino Deo Ndejembi akiwa amembeba Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde katika Mapokezi ya Katibu Mkuu mpya wa CCM Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi
My Take
Kuelekea Uchaguzi Mkuu tutashuhudia Kila aina ya vituko.
Acheni double standards
Mbunge wa Chamwino Deo Ndejembi akiwa amembeba Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde katika Mapokezi ya Katibu Mkuu mpya wa CCM Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi
My Take
Kuelekea Uchaguzi Mkuu tutashuhudia Kila aina ya vituko.