Wakristo mtachomewa makanisa hadi lini jamani ifike tuseme no imetosha

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Sipendi kuita mabwege ila napenda kusema hili swala la udini lnapoelekea ni pabaya
napenda kusema hili ndugu zangu watanzania namaanisha wakristo na waislamu
akuna dhambi kama kubaguana kidini

naamini uu muendelezo unaoendelea kuchoma magazeti athari yake ni kubwa kuliko
serikali inapokaa kimya..lazima wajue si kwamba wakristo wajinga ila ufahamu
utakaporudi nahisi amani itakuwa kubwa zaidi

nimeumia leo kusikia kanisa limechomwa nikajua malawi ama zambi kumbe kigoma ndan ya tanzania
mmehcoma mbagala,,zanzibar kigoma mwisho mtatuchoma sisi ...iifike wakati mseme basssssssssiiiiiiiiiiiiiii.....mskubali kuundiwa tume kama watoto kila siku ya zanzinar iko wapi...
 
Nimecheka sana hapo ulipoandika siku wakristo ufahamu utakaporudi!, kumbe wakristo hawana ufahamu??? tehe tehe
 
Hivi hayo makanisa yameanza kuchomwa lini,na kuanzia miaka gan na kwa sababu gan??
Unapomwagia moto petroli then ukalipuka lawama hiyo unampa nan??lawama unaipa moto au wewe ulieimwaga ile petroli??
Mbona hulalamiki kuhusu hao waanzilishi wa hizo choko choko??
Lipiza kisasi basi,kwan nani kakushika mkono au kakuzuia??misikiti si unaiona??
Kailipue,,
stayn today complaining bout yesterday wont make ur tommorrow any better...!!!
Take actions now if u thik u r such smart...
 
Imetosha,, tumeanza na sheikh ponda hapa dar kamata weka ndani na kule ZNZ sheikh Farid kamata weka ndani.
 
nimecheka sana hapo ulipoandika siku wakristo ufahamu utakaporudi!, kumbe wakristo hawana ufahamu??? Tehe tehe

mkuu sim
ogopa mtu anaeamini majini na mapepo anaweza kukumaliza dk 1 ati.s.asa naona wakristo wenzangu wengi tumefungwa na mapepo ya uvumilivu sasa kila tunachofanyiwa tunajipa moyo mungu atawalipiza atawalipiza wapi ushaona mapepo yanalipizwa mwisho yanakumaliza ati watanzania amkeni jamani sisemi wote ila naaaminiw apo waislamu wanaolaani hii hali na wengine wakichekelea kama mh wetu mis narudia tena tusali tufunge tufunguliwe ufahamu tuliofungwa na mapepo tujue wapi tulipo na nini cha kufanya

unajua hata kwenye baibo wanasema adui yako na afe sasa tunajifanya kuwaombea hawa huku wanaturushia maruhani na kuchoma moto makanisa na mwisho wanatuchoma moto wallahi nawaambia oooh shauri zenu
 
sipendi kuita mabwege ila napenda kusema hili swala la udini lnapoelekea ni pabaya
napenda kusema hili ndugu zangu watanzania namaanisha wakristo na waislamu
akuna dhambi kama kubaguana kidini

naamini uu muendelezo unaoendelea kuchoma magazeti athari yake ni kubwa kuliko
serikali inapokaa kimya..lazima wajue si kwamba wakristo wajinga ila ufahamu
utakaporudi nahisi amani itakuwa kubwa zaidi

nimeumia leo kusikia kanisa limechomwa nikajua malawi ama zambi kumbe kigoma ndan ya tanzania
mmehcoma mbagala,,zanzibar kigoma mwisho mtatuchoma sisi ...iifike wakati mseme basssssssssiiiiiiiiiiiiiii.....mskubali kuundiwa tume kama watoto kila siku ya zanzinar iko wapi...

vita vyetu si vya kimwili bali ni vya kiroho,mungu wetu via roho mtakatifu ndio atakaetupigania!!!tunazidi kipiga magodi na kumlilia mungu alie hai nae atajibu sooon!!
 
Hii sio mada ya wakristo kwan wao hawajafanya vurugu yoyote.solution ni waislam kukaa na kujua tatizo lipo wapi na kukemea tatizo hilo.
 
hivi hayo makanisa yameanza kuchomwa lini,na kuanzia miaka gan na kwa sababu gan??
Unapomwagia moto petroli then ukalipuka lawama hiyo unampa nan??lawama unaipa moto au wewe ulieimwaga ile petroli??
Mbona hulalamiki kuhusu hao waanzilishi wa hizo choko choko??
Lipiza kisasi basi,kwan nani kakushika mkono au kakuzuia??misikiti si unaiona??
Kailipue,,
stayn today complaining bout yesterday wont make ur tommorrow any better...!!!
Take actions now if u thik u r such smart...

mkuu nkadabwi
unajua sio kila mgonjw wa kuombewa kuna majini mengine yamejipanga ukiingia na sala zako ovyo unakwenda ..nini namaanisha swala la kisasi mwongozo wetu unasema kisasi ni cha bwana yaani baibo ..ila kwenye adui inasema adui na afe na hili natangaza fwatah kwa ajili ya wote walioanzisha uchafu huu wa kuchoma makanisa ama wafe ......ama wateketeee popote tusiwaone tenaa ...huu ni ujinga embu umejiuliza wanachoma moto kanisa alina mtu wanachoma ili nini

ndio maana narudia tena bora unyiwmwe utajiri kuliko kwenda shule jamani hili nasema na vizazi vyangu vyote vitalijua na hata majini na mapepo nimetangaia hili na wanajua hili......kinachoonekana mkuu sio kwamba waislam wakaorofi na wamemmis kitu fulani kichwani wakiamini kupitia kuchoma makanisa na mengineyo kutawapa nafasi za ajira
 
hii sio mada ya wakristo kwan wao hawajafanya vurugu yoyote.solution ni waislam kukaa na kujua tatizo lipo wapi na kukemea tatizo hilo.

mkuu tatizo linajulikana
shuleeeeeeeeeeeeee shuleeeeeeeeeeeeeeee shuleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ukinyimwa hili na mzazi wako kam a ana uwezoooooooo ibaaaaa ummalize na yeye ajue umuhimu wa wewe kwenda shulee basiiiiiiiiiiiiiiiii....wewe anakufa mtu mnaenda kukamata mwanamke unakamata boyfriend wake alafu unapeleka vigogo mwanza kuchunguza unachunguza nini tena wakati unajua kosa la marehemu akili tu@@@
 
Ni wakati wa mungu kuwainua sheikha ponda wa kikristo wakitumika kama daudi kumuangamiza goliath imetosha kabisa
 
Sio waislam wote wanaounga mkono uchochezi wa Ponda na redio iman!! Tatizo ni kwamba samaki mmoja akioza wote wameoza!! Wakristo muwe na subra, Mjibu mpumbavu kwa hekima usije ukafanana nae!! Kwa ujumla ninasikitishwa sana na hali ya mambo ilivyo hapa Tz na kule Znz!! Its a shame kwa nchi maskini kunuka kupoteza hata ile tunu ya amani iliokuwa inajivunia. Tutabaki na nini sasa nchi hii?
 
Acheni uchochezi nyie, tambueni kuwa kalamu zenu pia midomo yenu inafanya uchochezi, hawa wanaofanya huu naouita uhuni wa kuvamia makanisa hawana support yoyote ya waislamu, hawa ni wahuni tu, umeona wameiba ata komputer kanisani wala msiumize vichwa hawa ni vibaka tu wa uko mbagala.
Angalizo kwa nyie wachochezi kwanza vita ya kidini ni kuipelekea nchi hii iingie katika umwagaji wa kutisha wa damu, anayehisi kubaguliwa ye ndo mbaguzi mkubwa na yatakushindeni, lakini kama mnayataka haitakuwa ajabu ntakapoona na wakristu wakijifunza kuvaa mabomu ili kujilipua
 
Ukishindana na mjinga nawe unakuwa mjinga ndugu yangu...............sisi tunafunga na kuomba.............dini yetu haiagizi kufanya vurugu.............umesahau samehe 7 mara 70???.................hao ni wa kuwasamehe manake hawajui walitendalo............hali ngumu ya maisha waliyo nayo ndio tatizo kubwa!
 
Khaa...!!ajira??thats soo nonsense,,popcopy,,
nan kakuambia waislam wanachoma makanisa coz ya chuki zao za kukosa ajira?
Hivi ni nan kawaaminisha kua uislam unapromote ujinga au unawafundisha waumin wake wasisome na kutafuta maarifa??well,let me tell u somthin,miongoni mwa verse za mwanzo mkushuka kwa muslims ambozo mungu alimshushia prophet muhhammad peace be upon him ni "iqra bismirabika laadhi khalaq",khalakal inhsan bil khalaq",iqra a"warabukal akram,gh"alamal insan bil kalam""
means>>soma,soma kwa jina la mola wako aliekuumba,aliemuumba bin adam kwa tone la sperm,soma hakika mungu wako ni mkarim,aliemuelimisha binadam kwa kalam na kumjuza mambo ambayo yeye binadam alikua hayafaham,,
na zipo verse nyingi zinazoelezea na kusisitiza umuhimu wa elimu na ulazima wa binadam kuitafuta elimu hiyo,inchi kama mfano wa iran leo wanazungumzia kuhus teknolojia ya nyuklia na ile ni jamhuri ya kiislam una amin kua wale wamesoma madrasa tuh??propaganda kama hizo hazina mashiko na wenye kua na uelewa na exposure tunakudharau,,ni umaskin uliorithi kwa ancestors wako ndio umekupelekeeni kuamin kua yupo aliekufa kwa ajili ya shida zenu,,ulaya na sehemu zingne wakatambua uhalisia wa mambo huwez kukaa na kuongea pumba kama hizo
na usitegemee hatab siku moja eti uwadharau waislam na kuwakashifu kisha wao wasichukue action ya kupinga dhulma kama hzo
ilo sahauu...
 
Sipendi kuita mabwege ila napenda kusema hili swala la udini lnapoelekea ni pabaya
napenda kusema hili ndugu zangu watanzania namaanisha wakristo na waislamu
akuna dhambi kama kubaguana kidini

naamini uu muendelezo unaoendelea kuchoma magazeti athari yake ni kubwa kuliko
serikali inapokaa kimya..lazima wajue si kwamba wakristo wajinga ila ufahamu
utakaporudi nahisi amani itakuwa kubwa zaidi

nimeumia leo kusikia kanisa limechomwa nikajua malawi ama zambi kumbe kigoma ndan ya tanzania
mmehcoma mbagala,,zanzibar kigoma mwisho mtatuchoma sisi ...iifike wakati mseme basssssssssiiiiiiiiiiiiiii.....mskubali kuundiwa tume kama watoto kila siku ya zanzinar iko wapi...

Unachosema kina ukweli hawa watu tukisema tuendelee kuwachekea tutavuna mabua, niwajuavyo mimi sehemu kubwa ni watu walio feli katika kila aspect hivyo wanatafuta pa kutokea, kwa mfano wengi wao maisha yamewashinda, wameshindwa kujenga nyumba za ibada za maana, wameshindwa kujenga shule na vyuo vya maana, wameshindwa kukataa kutumiwa na watu wanaowatumia ili kuvunja amani ya nchi kama wenzao wakristo hata wakasirishwe kwa kiwango gani hawawezi kuchoma nymba wala kwenda kuiba mali ya msikiti japo ni rahisi tu, sasa the way forward inabidi serikali iwaangalie sana maana wataendelea na hivi vitabia vyao kujifanya wanapinga jambo fulani kumbe nia yao kubwa ni kuvunja kanisa ili waibe vyombo vya mziki na sadaka kama zimesahaulika wauze wapate mlo wa siku.
 
Back
Top Bottom