BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Sipendi kuita mabwege ila napenda kusema hili swala la udini lnapoelekea ni pabaya
napenda kusema hili ndugu zangu watanzania namaanisha wakristo na waislamu
akuna dhambi kama kubaguana kidini
naamini uu muendelezo unaoendelea kuchoma magazeti athari yake ni kubwa kuliko
serikali inapokaa kimya..lazima wajue si kwamba wakristo wajinga ila ufahamu
utakaporudi nahisi amani itakuwa kubwa zaidi
nimeumia leo kusikia kanisa limechomwa nikajua malawi ama zambi kumbe kigoma ndan ya tanzania
mmehcoma mbagala,,zanzibar kigoma mwisho mtatuchoma sisi ...iifike wakati mseme basssssssssiiiiiiiiiiiiiii.....mskubali kuundiwa tume kama watoto kila siku ya zanzinar iko wapi...
napenda kusema hili ndugu zangu watanzania namaanisha wakristo na waislamu
akuna dhambi kama kubaguana kidini
naamini uu muendelezo unaoendelea kuchoma magazeti athari yake ni kubwa kuliko
serikali inapokaa kimya..lazima wajue si kwamba wakristo wajinga ila ufahamu
utakaporudi nahisi amani itakuwa kubwa zaidi
nimeumia leo kusikia kanisa limechomwa nikajua malawi ama zambi kumbe kigoma ndan ya tanzania
mmehcoma mbagala,,zanzibar kigoma mwisho mtatuchoma sisi ...iifike wakati mseme basssssssssiiiiiiiiiiiiiii.....mskubali kuundiwa tume kama watoto kila siku ya zanzinar iko wapi...