Wakristo kuruhusiwa ndoa zaidi ya moja

OkSIR

Senior Member
Jun 3, 2009
108
1
Ndugu wananch...kwa wale walioachwa na wake/waume zao soln yaweza kupataikna muda si mrefu....kuna mswaada unatarajiwa kusambazwa makanisani kuruhusu iwapo mtu ataaachwa na mumewe ama mkewe kwa zaidi ya miezi sita na kuwa na ushahidi wa vikao vilivyokaa kusuluhisha makanisa yameona watu wengi wanaangamia kwa uzinzi...na katika resaerch iliofanywa imeonyeshwa wakristo wengi ndio walio na nyumba ndogo ...na katika haya wengi wameonekana ni wale waliooana wakaachana na hivyo kuanza kupanga ndoa zao za uzinzi...kwenu wananchi je hili litakuwa soln kweli???
wasiwasi wangu watu wasioane kwa ajili ya utajiri baada ya ndoa wakaanza kudaiana..wakijua muda si mrefu anaweza kuvuta chuma kingine...
 
Kwani walikatazwa na nani? mie nashangaa, mke mmoja,, mahawara kumi na moja, ruksa! mke zaidi ya mmoja marufuku! haiingii akilini kama utatu!
 
Ndugu wananch...kwa wale walioachwa na wake/waume zao soln yaweza kupataikna muda si mrefu....kuna mswaada unatarajiwa kusambazwa makanisani kuruhusu iwapo mtu ataaachwa na mumewe ama mkewe kwa zaidi ya miezi sita na kuwa na ushahidi wa vikao vilivyokaa kusuluhisha makanisa yameona watu wengi wanaangamia kwa uzinzi...na katika resaerch iliofanywa imeonyeshwa wakristo wengi ndio walio na nyumba ndogo ...na katika haya wengi wameonekana ni wale waliooana wakaachana na hivyo kuanza kupanga ndoa zao za uzinzi...kwenu wananchi je hili litakuwa soln kweli???
wasiwasi wangu watu wasioane kwa ajili ya utajiri baada ya ndoa wakaanza kudaiana..wakijua muda si mrefu anaweza kuvuta chuma kingine...

Hakika hii sio siasa. Sasa inafuata nini kwenye jukwaa hili? Mod, peleka inakostahili.
 
ah ndio tatizo hilo la dini za wenzetu maana kila siku biblia inabadilishwa unategemea nini mbona iliyo ya kweli haibadiliki iko vilevile japo wafuasi hawafati lakini hawawezi kubadilisha baadae na masister wataolewa kwani kaekwa mwanamke kuzaa wao wamewafungia makanisani ili makasisi wajirushe roho
 
Kwani walikatazwa na nani? mie nashangaa, mke mmoja,, mahawara kumi na moja, ruksa! mke zaidi ya mmoja marufuku! haiingii akilini kama utatu!

Of coz haiwezi kuingia akilini mwa mkamua kinyesi maiti, mfuasi wa mtume pedofile na mungu mwezi aishiye kaaba. thats straightforward.!
 
ah ndio tatizo hilo la dini za wenzetu maana kila siku biblia inabadilishwa unategemea nini mbona iliyo ya kweli haibadiliki iko vilevile japo wafuasi hawafati lakini hawawezi kubadilisha baadae na masister wataolewa kwani kaekwa mwanamke kuzaa wao wamewafungia makanisani ili makasisi wajirushe roho

wewe mkamua kinyesi maiti na mfuasi wa mungumtume pedofile endelea tu tunakuchek kwenye site mirror ila usiende kulia kwa MODS, maana mamba umewachokoza mwenyewe huku kuogelea wataka.
 
Ndugu wananch...kwa wale walioachwa na wake/waume zao soln yaweza kupataikna muda si mrefu....kuna mswaada unatarajiwa kusambazwa makanisani kuruhusu iwapo mtu ataaachwa na mumewe ama mkewe kwa zaidi ya miezi sita na kuwa na ushahidi wa vikao vilivyokaa kusuluhisha makanisa yameona watu wengi wanaangamia kwa uzinzi...na katika resaerch iliofanywa imeonyeshwa wakristo wengi ndio walio na nyumba ndogo ...na katika haya wengi wameonekana ni wale waliooana wakaachana na hivyo kuanza kupanga ndoa zao za uzinzi...kwenu wananchi je hili litakuwa soln kweli???
wasiwasi wangu watu wasioane kwa ajili ya utajiri baada ya ndoa wakaanza kudaiana..wakijua muda si mrefu anaweza kuvuta chuma kingine...

Na wewe bwana mkubwa sana, unaposema 'wakristo' una maana gani? Au unadhani huu ukumbi upoupo tu bila mpangilio kama ngoma za kibara. Waleta maelezo ya jumlajumla ya vijiweni bila source. Halafu unaacha watu njia panda bila kuwafikisha kileleni..i mean kwenye kilele cha kutafakari habari kamili..Sasa unaleta habari robo unategemea tukusaidieje?au ili iweje?

Unasema research imefanyika blah blah..research imefanyika wapi na kwa akina nani na sampling ikoje, sampling error, outilers, bias, standard error etc? Kama huna tafadhali kaa pembeni uwe msomaji inaruhusiwa.
 
Ndoa ya Mitala katika HistoriaUislam haukubuni huo mfumo au mtindo wa ndoa ya mitala.Ulikuwepo siku nyingi sana kabla ya Uislam kuingia katikamandhari ya matukio ya dunia. Bilblia inasema kwamba Lameki;mjukuu wa Nabii Adam “alijitwalia wake wawili: jina la mmoja wakwanza lilikuwa ni Adah, na jina la huyo mwingine ni Zillah.”3Hivyo1Hili neno mitala linapendelewa kwa sababu hawara ina maana ya wenzawengi (mume mmoja na wake wengi au mke mmoja na wanaume wengi)ambapo neno mitala lina maana ya inaashiria kwenye ndoa ya mumemmoja wake wengi

doa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtumemitala imekuwepo tangu siku za mwanzo kabisa za historia yamwanadamu.Watu watakatifu wengi wa ndani ya Biblia walikuwa nawake wengi au vimada kwa wakati huo huo. Abraham alikuwa naSarah na Hajar. Abraham mwanzoni alijaaliwa na kupata mtotowa kiume kupitia kwa Hajar, ambaye huyu alimwita Ishmael, nahalafu akajaaliwa kupata mtoto wa kiume mwingine kupitia kwaSarah, ambaye huyu alimwita Isaaka.Hebu angalia mfano wa Yakobo(Yaquub); yeye alikuwana wake wanne na vimada: Leah na Rachel (wote walikuwa binamuzake Yakobo), na yeye pia alikuwa na Bilhah na Zilpah (wotewalikuwa ni wajakazi waliotolewa zawadi kwa Yakobokutokakwa wake zake). Ni kutoka kwa mabibi hawa ambapo Yakoboalipata watoto wa kiume kumi na mbili ambao walikuja kuwawahenga wa yale makabila kumi na mbili ya Israeli.David, anayejulikana kwa kuarabu kama Nabii Dawud,alikuwa na takriban wake wanane ambao majina yao yanajulikana,alikuwa na wengine wengi ambao majina yao hakuwahi kujulikanana kuwekwa kwenye kumbukumbu. Kile kitabu cha Pili chaSamuel (katika Biblia) kinazungumzia kuhusu “wale wake zake”Dawud huko Hebron na vile vile huko Jerusalem.4Lamech, mjukuu wa Adam, alikuwa na wake wawili.Abraham alikuwa na wake wawili: Sarah na HajarYakub alikuwa na wake wawili na vimada wawili:Yale makabila kumi na mbili ya Waisrail yanatokana namabibi hawa wane.Dawud alikuwa na wake wengi42Samuel 3:2-5, 13-16; 5:13-16

Hii ndio source aliyoulizia mdau? Vichwa maji wametamalaki JF..lol
 
Of coz haiwezi kuingia akilini mwa mkamua kinyesi maiti, mfuasi wa mtume pedofile na mungu mwezi aishiye kaaba. thats straightforward.!

Mkishindwa hoja mnaanza matusi, hahahahaaaaaaaaaaaaaaha!

Ndio ujuwe ukweli uko wapi!
 
waislamu waliweka utaratibu wa kuwa na ndoa nyingi kwa lengo mahususi la to out number christians ili baadae wanapotaka mambo yao wayapate kwa nguvu.Unawaonea wakristo inawezekana ulizaliwa kwa bahati mbaya na akili yako haina akili...............
Ndugu wananch...kwa wale walioachwa na wake/waume zao soln yaweza kupataikna muda si mrefu....kuna mswaada unatarajiwa kusambazwa makanisani kuruhusu iwapo mtu ataaachwa na mumewe ama mkewe kwa zaidi ya miezi sita na kuwa na ushahidi wa vikao vilivyokaa kusuluhisha makanisa yameona watu wengi wanaangamia kwa uzinzi...na katika resaerch iliofanywa imeonyeshwa wakristo wengi ndio walio na nyumba ndogo ...na katika haya wengi wameonekana ni wale waliooana wakaachana na hivyo kuanza kupanga ndoa zao za uzinzi...kwenu wananchi je hili litakuwa soln kweli???
wasiwasi wangu watu wasioane kwa ajili ya utajiri baada ya ndoa wakaanza kudaiana..wakijua muda si mrefu anaweza kuvuta chuma kingine...
 
Mkishindwa hoja mnaanza matusi, hahahahaaaaaaaaaaaaaaha!

Ndio ujuwe ukweli uko wapi!

Hivi hapa hoja ni nini? Mboni tunapowakumbusha na ninyi kuhusu ukweli kuhusu imani yenu na alivo mtume wenu pedofile mboni mnakuwa wakali?
 
AbdulHalim

Punguza jazba. tafadhali sana zingatia hoja na sio ubishi na maneno yasiyo na mashiko.

Kumbuka kuwa kila mtu ana uhuru kamili wa kuandika na kuweka facts na ref zake katika mada zake.

sasa wee usijifanye tishio kwa wengine. fahamu kuwa HAKUNA MKUBWA BILA KUWA NA MKUBWA ZAIDI yAKE. KAMA WEWE WAJUA A NA SISI TUNAJUWA B
 
AbdulHalim

Punguza jazba. tafadhali sana zingatia hoja na sio ubishi na maneno yasiyo na mashiko.

Kumbuka kuwa kila mtu ana uhuru kamili wa kuandika na kuweka facts na ref zake katika mada zake.

sasa wee usijifanye tishio kwa wengine. fahamu kuwa HAKUNA MKUBWA BILA KUWA NA MKUBWA ZAIDI yAKE. KAMA WEWE WAJUA A NA SISI TUNAJUWA B

Summarize unachotaka kusema, maana sikuelewi.
 
Haya sio mageni.Wakristo wamekuwa wanaruhusiwa kuoa tena kama ikithibitika kwamba mwenzi hana nia ya kweli ya ndoa na nia ni kumtesa tu mwenzi wake!

Ndugu wananch...kwa wale walioachwa na wake/waume zao soln yaweza kupataikna muda si mrefu....kuna mswaada unatarajiwa kusambazwa makanisani kuruhusu iwapo mtu ataaachwa na mumewe ama mkewe kwa zaidi ya miezi sita na kuwa na ushahidi wa vikao vilivyokaa kusuluhisha makanisa yameona watu wengi wanaangamia kwa uzinzi...na katika resaerch iliofanywa imeonyeshwa wakristo wengi ndio walio na nyumba ndogo ...na katika haya wengi wameonekana ni wale waliooana wakaachana na hivyo kuanza kupanga ndoa zao za uzinzi...kwenu wananchi je hili litakuwa soln kweli???
wasiwasi wangu watu wasioane kwa ajili ya utajiri baada ya ndoa wakaanza kudaiana..wakijua muda si mrefu anaweza kuvuta chuma kingine...
 
Ndugu wananch...kwa wale walioachwa na wake/waume zao soln yaweza kupataikna muda si mrefu....kuna mswaada unatarajiwa kusambazwa makanisani kuruhusu iwapo mtu ataaachwa na mumewe ama mkewe kwa zaidi ya miezi sita na kuwa na ushahidi wa vikao vilivyokaa kusuluhisha makanisa yameona watu wengi wanaangamia kwa uzinzi...na katika resaerch iliofanywa imeonyeshwa wakristo wengi ndio walio na nyumba ndogo ...na katika haya wengi wameonekana ni wale waliooana wakaachana na hivyo kuanza kupanga ndoa zao za uzinzi...kwenu wananchi je hili litakuwa soln kweli???
wasiwasi wangu watu wasioane kwa ajili ya utajiri baada ya ndoa wakaanza kudaiana..wakijua muda si mrefu anaweza kuvuta chuma kingine...

Huo ni uzushi, hakuna tetesi ya namna hiyo makanisani! Afterall, kuwa na nyumba ndogo hakufuati dini ya mtu bali tabia yake. Kwa hiyo, 'conclusion' yako ni 'flawed'! Ila wanasema 'nyoka huuma afikiapo' na wewe uwezo wako wa kufikiri ndio kama huo!
 
Of coz haiwezi kuingia akilini mwa mkamua kinyesi maiti, mfuasi wa mtume pedofile na mungu mwezi aishiye kaaba. thats straightforward.!

Duh mkuu umekandamiza! anyway the guys need mental change, we should forgive them bay be the level of insanity is on the higher side than a normal human being.
 
wewe mkamua kinyesi maiti na mfuasi wa mungumtume pedofile endelea tu tunakuchek kwenye site mirror ila usiende kulia kwa MODS, maana mamba umewachokoza mwenyewe huku kuogelea wataka.

Mkuu sasa naona unaikshifu dini tutakusomea itikafu na albadir ili uone kilichomyoa kanga manyoya!
 
Ndugu wananch...kwa wale walioachwa na wake/waume zao soln yaweza kupataikna muda si mrefu....kuna mswaada unatarajiwa kusambazwa makanisani kuruhusu iwapo mtu ataaachwa na mumewe ama mkewe kwa zaidi ya miezi sita na kuwa na ushahidi wa vikao vilivyokaa kusuluhisha makanisa yameona watu wengi wanaangamia kwa uzinzi...na katika resaerch iliofanywa imeonyeshwa wakristo wengi ndio walio na nyumba ndogo ...na katika haya wengi wameonekana ni wale waliooana wakaachana na hivyo kuanza kupanga ndoa zao za uzinzi...kwenu wananchi je hili litakuwa soln kweli???
wasiwasi wangu watu wasioane kwa ajili ya utajiri baada ya ndoa wakaanza kudaiana..wakijua muda si mrefu anaweza kuvuta chuma kingine...

Haya mawazo ya hayawani mnayatoa wapi? Kama huna cha kufanya si ukakojoe ulale? Kwanini usumbue watu na habari isiyo na kichwa wala makalio? Pumbafu kabisa!!
 
Back
Top Bottom