Ndugu wananch...kwa wale walioachwa na wake/waume zao soln yaweza kupataikna muda si mrefu....kuna mswaada unatarajiwa kusambazwa makanisani kuruhusu iwapo mtu ataaachwa na mumewe ama mkewe kwa zaidi ya miezi sita na kuwa na ushahidi wa vikao vilivyokaa kusuluhisha makanisa yameona watu wengi wanaangamia kwa uzinzi...na katika resaerch iliofanywa imeonyeshwa wakristo wengi ndio walio na nyumba ndogo ...na katika haya wengi wameonekana ni wale waliooana wakaachana na hivyo kuanza kupanga ndoa zao za uzinzi...kwenu wananchi je hili litakuwa soln kweli???
wasiwasi wangu watu wasioane kwa ajili ya utajiri baada ya ndoa wakaanza kudaiana..wakijua muda si mrefu anaweza kuvuta chuma kingine...
wasiwasi wangu watu wasioane kwa ajili ya utajiri baada ya ndoa wakaanza kudaiana..wakijua muda si mrefu anaweza kuvuta chuma kingine...