Ni kawaida tu. Si ulaji wa kutishaNasikia ni nzuri ila inabidi ujipange kwenye wese maana inabugia kinoma
Nunua hio gari zina engine ya vvti ulaji mafuta ni wa kawaida wala usitishwe nina mwaka wa nne natumia engine kabila hio ingawaje sio gx 110 na nafasi yake ndani pia ni nzuri.Naomba msaada wa ubora na ubaya wa Mark II Grande GX110. CC1988. Nataka ninunue hili gari kwa shughuli zangu binafsi. Asante. Cc Mshana jr, LEGE, RRONDO na wakongwe wengine. Asanteni.
Gari nzuri kwa mjini na safari za hapa na pale. Chukua.Naomba msaada wa ubora na ubaya wa Mark II Grande GX110. CC1988. Nataka ninunue hili gari kwa shughuli zangu binafsi. Asante. Cc Mshana jr, LEGE, RRONDO na wakongwe wengine. Asanteni.
Hivi mnajua magari au mnaongea tu? Gx110 nayo ni gari ya kumwambia mtu awe na kisima cha mafuta?Una kisima cha mafuta
Una sheeli?
hebu acheni kutisha watu gx110 nayo ni ya kuogopa utumiaji wa mafuta?Nasikia ni nzuri ila inabidi ujipange kwenye wese maana inabugia kinoma
Mkuu unajaribu kutaka kusema nn?Hivi mnajua magari au mnaongea tu? Gx110 nayo ni gari ya kumwambia mtu awe na kisima cha mafuta?
Nasema hivi gx110 ni gari ya kawaida kwenye nyanja zote ikiwemo utumiaji wa mafuta.Mkuu unajaribu kutaka kusema nn?
Hebu nijibu hili kdg mkuu. Hivi shock up moja ya nyuma ya GX110 enaweza fika tsh ngapi?Nasema hivi gx110 ni gari ya kawaida kwenye nyanja zote ikiwemo utumiaji wa mafuta.
Elfu themanini unapata shauri moyo.Hebu nijibu hili kdg mkuu. Hivi shock up moja ya nyuma ya GX110 enaweza fika tsh ngapi?