Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,574
- 3,038
Maisha ni mwalimu mzuri.Kuna Ile tabia mtu anakaribia kumaliza chuo au anakuwa amemaliza kabisa chuo anakuwa anapanga kabisa kwamba Mimi nikienda mtaani sifanyi kazi chini ya hela kiasi Fulani.
Watu wanajipangia mishara mikubwa sana na kujiaminisha.Wakija kuingia na mtaani Kwanza wanakutana na ukosefu wa ajira, kwahiyo wanabaki kusugua benchi nyumbani.Baadaye mtu ana learn the hard way.Na mwisho wa siku akipata hata tenda ya Kiasi kadhaa(kidogo) unakuta anakimbilia haraka Sana na kuona hili nalo embe dodo mchangani.
Achaneni kabisa.
Watu wanajipangia mishara mikubwa sana na kujiaminisha.Wakija kuingia na mtaani Kwanza wanakutana na ukosefu wa ajira, kwahiyo wanabaki kusugua benchi nyumbani.Baadaye mtu ana learn the hard way.Na mwisho wa siku akipata hata tenda ya Kiasi kadhaa(kidogo) unakuta anakimbilia haraka Sana na kuona hili nalo embe dodo mchangani.
Achaneni kabisa.