Wako wapi wadada hawa wenye vipaji vikubwa vya Muziki?

Rahma, Radhia na Radhina
Walianza kuimba Rahma & Radhia na kaka yao Ibra wakiwa pamoja na kundi la G'z Mobb lililokuwa na msanii Gerad Siri a.k.a G-Solo.
Nyimbo yao kwanza kuitoa ni Tucheke na tucheze tufurahi 1996.
Video yake ilifanyika CBE dodoma, Area C' eneo la wajenzi.
Itaendelea.............................


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom