WAKILI WA KESI YANGU KUWA UPANDE WA NINAYE MLALAMIKIA

wanatamani

JF-Expert Member
Apr 10, 2011
415
144
naomba kujuzwa kuna taratibu gani wakili anayekusimamia kesi, anapokufanyia udanganyifu wa tarehe za kesi kwa kupeleka mbele zaidi ,ili kufanya usihudhurie mahakamani na kusababisha kuonekana haufiki? kwa kumuwezesha ninaemlalamikia kupata ushindi (yaani kuwa upande wa ninayemlalamikia kwa maslahi yake zaidi ?
nini naweza fanya inapotokea hivyo kwa mujibu wa taratibu za kisheria?
 
Sababu ya shauri lako kuamuliwa hivyo ni kwa kutofika kwako mahakamani au kuna jingine??? ...
 
Kesi ni ya kwako wewe kwanini usifike Mahakamani?
Hata kama una Wakili unatakiwa ufike Mahakamani na Hakimu akupe tarehe wewe na amuulize Wakili wako kama na yeye ana nafasi ya tarehe hiyo"
zaidi ya hapo fukuza Wakili jitetee mwenyewe
 
Waweza peleka mashitaka yako advocate committee ili ichukuliwe hatua ya kinidhamu maana hiyo ni 'professional misconduct'.
 
Waweza peleka mashitaka yako advocate committee ili ichukuliwe hatua ya kinidhamu maana hiyo ni 'professional misconduct'.
Dr Masumbuko Lamwai nakumbuka alinyang'anywa leseni kwa kosa kama hili akakimbilia Zanzibar na ndio ulikuwa mwanzo wa nyota yake kufifia.
 
Back
Top Bottom