Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
Wakili maarufu nchini,Median Mwale ameibwaga serikali kwa mara nyingine na kutakiwa kukabidhiwa magari yake ya kifahari yanayoshikiliwa katika ofisi za TRA jijini Arusha.
Hukumu hiyo nimetolewa na jaji wa mahakama kuu kanda ya Arusha kakusulo Sambu huku akisisitiza mawakili wa serikali ni mbumbu wa sheria na walikurupuka kupeleke shauri hilo mahakamani.
Hukumu hiyo nimetolewa na jaji wa mahakama kuu kanda ya Arusha kakusulo Sambu huku akisisitiza mawakili wa serikali ni mbumbu wa sheria na walikurupuka kupeleke shauri hilo mahakamani.