Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,498
- 8,559
Viini macho hivyo ... Bunge lina wajumbe 393 ambao wote ni matokeo ya mbeleko za ccm isipokuwa mmoja wa upinzani!Kwani maana ya kuishauri Serikali nini ?
Au unamaanisha kila anachoamua Raisi Bunge letu linakubali.
Basi hakuna haja ya kuwa na Bunge.
Raisi anatosha.
Bunge Livunjwe.
Hapo common wananchi hasa bibi na babu zetu ndo wanarubuniwa!!