Wakili Madeleka: Hakuna atakayetoka nchi nyingine kuja kufanya wajibu wa kusema ukweli na kulinda rasilimali za nchi yetu

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,899
10,363
Mambo yanayoendelea katika nchi yetu kwa sasa hususan katika suala la mkataba wa bandari halivumiliki, na sisi kama Watanzania ambao tuna wajibu wa kusema ukweli na kulinda raslimali za nchi yetu ikiwemo bandari tunatimiza wajibu wetu huu adhimu na adimu kwa sababu hakuna mwingine kutoka nchi nyingine atakayekuja kufanya wajibu huu.

Amesema hayo akiwa kwenye press conference, leo Julai 12, 2023

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
 
Mbona madini wanachimba wageni na yameleta mchango mkubwa kwenye uchumi?
 
Mambo yanayoendelea katika nchi yetu kwa sasa hususan katika suala la mkataba wa bandari halivumiliki, na sisi kama Watanzania ambao tuna wajibu wa kusema ukweli na kulinda raslimali za nchi yetu ikiwemo bandari tunatimiza wajibu wetu huu adhimu na adimu kwa sababu hakuna mwingine kutoka nchi nyingine atakayekuja kufanya wajibu huu.

Amesema hayo akiwa kwenye press conference, leo Julai 12, 2023

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka

Well said…
thanx for reminding us,
Its our Right.
 
Mambo yanayoendelea katika nchi yetu kwa sasa hususan katika suala la mkataba wa bandari halivumiliki, na sisi kama Watanzania ambao tuna wajibu wa kusema ukweli na kulinda raslimali za nchi yetu ikiwemo bandari tunatimiza wajibu wetu huu adhimu na adimu kwa sababu hakuna mwingine kutoka nchi nyingine atakayekuja kufanya wajibu huu.

Amesema hayo akiwa kwenye press conference, leo Julai 12, 2023

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Hii press conference ya leo is one of the best conference ever held

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom