WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 5,610
- 5,276
Baada ya kuuza Bandari za Tanganyika kwa Waarabu mmeanza kusema ni vita ya Kiuchumi.Hii safi sana, maana kuna watu wanasambaza uongo, inatakiwa upelelezi chunguze namba zote wanazowasiliana nazo kwa simu na kwa messgaes. Vyanzo vitajulikana tu.
Hii ni vita ya kiuchumi kwa nchi yetu. Aidha watangazie waende wenyewe kwenye vyombo vya uchunguzi au waitwe namna hii.
Nashauri watazamwe ma group yao yote ya wharsapp, telegram, twitter, facebook na jadhalika. Ili vyanzo vijulikane.
Mimi nakisia. vyanzo vya haraka haraka:
1) Anna Tibaijuka.
2) karamagi
3) Adani
4) AD Ports
5) DP World
6) Wakurugenzi waliovunjiwa bodi yao bandarini.
9) Wakurugenzi wa shirika la meli lilitojajwa namba moja.
10) Taasisi za kidini.
11) Sukuma gang
12) Vyama vya siasa ikiwemo CCM yenyewe.
Naamini wengi humu JF ni makondoo tu yaliyokosa mchungaji. Vyanzo vitajulikana tu.
nawapa pongezi sana serikali kwa kuanza kuchukuwa hatua. Maana uongo ukizidi utaonekana ni ukweli.