Wakili Albert Msando kulikuwa na haja kweli?

Mimi sina sababu ya ku-challenge uwakili wako au uelewa wako. Km wewe na wateja wako mmeamua kujibu tuhuma na kuwasilisha maamuzi kwa kamati kuu sasa kuna sababu gani ya ku-pre empty decision ya kamati kuu na kuleta kesi yenu kwa vyombo vya habari? Je waandishi wa habari ndo sehemu ya vikao vya chadema! Hapo wakili umechemsha labda km unafanya mikutano na waandishi wa habari kujitafutia jina/kuji-market! Wewe ukiwa wakili wao kwa nini usitoe hoja zako humo za kukiukwa kwa vifungu na kuomba swala hilo lipitiwe upya ama na kamati kuu au kikao cha juu yake, ili utaratibu mzuri ufanywe haki itendeke? Ni swala la kawaida hata mahakamani kuomba mahakama kupitia tena hukumu yake kwa vile kuna vifungu au ushahidi haukuzingatiwa. Halafu kwa nini msisubiri majibu au matokeo au maamuzi ya kamati kuu kwanza km wataendelea kuwavua vyeo au kuwafukuza chamani, baada ya hapo sasa mkate rufaa? Utaonyeshaje nia ya kukata rufaa hata shauri halijasikilizwa? Huko ni ku-pre empty decisions na kujaribu kuitisha kamati kuu! Km mlitaka kukata rufaa kupinga maamuzi ya kikao kilichopita cha kamati kuu mngekuwa mmefanya hivyo siku nyingi na siyo kusubiri hadi siku 14 zinakwisha? Kwa utaratibu wewe kama wakili wao ulipaswa ukitaarifu chama cha chadema nia yenu ya kukata rufaa kwanza na siyo kuanzia kuvitaarifu vyombo vya habari. Nahisi nia yenu si kujenga chama bali ni kubomoa kwa kisingizio cha maamuzi ya kamati kuu. Na kuhusiana na uhusika wa zitto katika vurugu mimi nilidhani zitto angejitokeza kuanzia day one pale viongozi wa kigoma walipotoa tamko la kumzuia Dr slaa kwenda kigoma ingeleta more sense au hata walipofanya maandamano kwenda polisi? Yeye binafsi au wewe ulitakiwa utoe statement immediately ya kukemea lakini mliziba masikio na kufumba macho hadi mwone mambo yanakwendaje! Mmekuja kugundua Dr Slaa hakutishwa na matamko hayo na watu walijitokeza katika mikutano yake hadi anamaliza ziara yake. Hapo na nyie ndo mnatoa very thin explanations ya kukanusha lakini circumstantial evidence zina m-implicate zitto katika vurugu au waraka wa siri, hawezi akafanyiwa mapango wa uongozi bila yeye kujua NEVER NEVER! Vurugu haziwezi kuandaliwa jimboni kwake pasipo yeye kujua NEVER NEVER! Nawasilisha, mimi ni wakili wa kuzaliwa au wa wito na si wa kusomea lakini.

hii yote paragraph moja! duh
 
Wakili msomi Msando amenikwamisha sehemu hadi napata kizunguzungu na kuhisi yeye si mshauri wa kisheria wa Zitto bali Zitto ndie mshauri wa Msando.

Kwani utaratibu wa rufani upoje? Mi nilidhani baada ya Zitto na wenzie kupewa barua za kusimamishwa na ziwe zimejibiwa ndani ya siku 14 then kamati kuu iliyowatuhumu inakaa kupitia utetezi wao na kama kuna maelezo ya ziada wanaitwa na kufafanua kwa mdomo then maamuzi ya either kuwafukuza au kuwarudisha.

Kama maamuzi ni kuwafukuza ndio sasa Wakili Msomi Msendo ndio anakuja na kutangaza intention ya wateja wake kukatia rufani maamuzi hayo ya mwisho.
Kwa hivi sasa wanajuaje kama utetezi wao utakubaliwa au kukataliwa bila wao kupewa maamuzi juu ya utetezi huo?

Nafikiria nisome hata certificate ya sheria kwa mwaka mmoja ili niepuke kuwa ma maswali mengi pasipo sababu
 
mimi naamini zitto anahusika kuihujumu chadema.! Yeye kila jambo anakimbilia kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Hata rumours yeye anataka kuzijibu! Kuna mambo mengine ni kuyapeleka kimya kimya mpaka matokeo ndo yataleta majibu ya ukweli.! @zito jaribu kukaa kimya vinginevyo utaendelea kulaumiwa kuhusu kuhujumu chama.

kama ni kweli amechukua pesa ccm ili kuidhoofisha chadema ili ccm isiondoke madarakani hawezi kuacha kutumia mitandao ya kijamii na waandishi wachumia tumbo kuwananga viongozi wa chadema.si amepewa kazi na analipwa?
 
Wakili msomi Msando amenikwamisha sehemu hadi napata kizunguzungu na kuhisi yeye si mshauri wa kisheria wa Zitto bali Zitto ndie mshauri wa Msando.

Kwani utaratibu wa rufani upoje? Mi nilidhani baada ya Zitto na wenzie kupewa barua za kusimamishwa na ziwe zimejibiwa ndani ya siku 14 then kamati kuu iliyowatuhumu inakaa kupitia utetezi wao na kama kuna maelezo ya ziada wanaitwa na kufafanua kwa mdomo then maamuzi ya either kuwafukuza au kuwarudisha.

Kama maamuzi ni kuwafukuza ndio sasa Wakili Msomi Msendo ndio anakuja na kutangaza intention ya wateja wake kukatia rufani maamuzi hayo ya mwisho.
Kwa hivi sasa wanajuaje kama utetezi wao utakubaliwa au kukataliwa bila wao kupewa maamuzi juu ya utetezi huo?

Nafikiria nisome hata certificate ya sheria kwa mwaka mmoja ili niepuke kuwa ma maswali mengi pasipo sababu

Akina Zitto wanakata Rufani kuhusu kuvuliwa Nyadhifa zao, tarehe 22/11/2013. HAWAJAKATA RUFANI KUHUSU ISHU YA UANACHAMA, KWA MAANA ISHU YA UNACHAMA BADO HAIJASIKILIZWA
 
zitto anajiaribia mwenyewe,kitendo cha ku organise goons kumshabulia Dr slaa kigoma kwa mapango yenye kashfa na maandamano was not good at all.
where was zitto when the goons were destroying cdm properties na ku brandish mabango yenye ujumbe wa kukashfu chama mbacho wanalilia zitto asifukuzwe?
zitto was silance and calm akizania ana gain political mileage,kumbe wanamuaribia political pillar ambayo ameijenga for the last 8 or ten yrs

nilikuwa namkubali sana zitto ila kwa hili ameshauriwa visivyo.
 
Back
Top Bottom