Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,947
- 33,558
Katika kipindi hiki kigumu kabisa kwa taifa,
Yani Rais amefariki na wakati huo huo mfanye makabidhiano ya madaraka, je mmesikia kuna hata mende au mbuzi kafa? Je, mmesikia kuna hata panya tu kajeruhiwa?
Je, mmesikia hata malumbano ya maneno?
Tukiwaambia sisi ndio baba zenu hapa EAC muwe mnaelewa. Tunawasubiri 2022.
Yani Rais amefariki na wakati huo huo mfanye makabidhiano ya madaraka, je mmesikia kuna hata mende au mbuzi kafa? Je, mmesikia kuna hata panya tu kajeruhiwa?
Je, mmesikia hata malumbano ya maneno?
Tukiwaambia sisi ndio baba zenu hapa EAC muwe mnaelewa. Tunawasubiri 2022.