Hivi hayo matamanio ambayo 'Mungu kamuumbia' mwanadamu ni ya wanawake tu?
Hayako kwenye mali au vitu pia?
Au wanawake wenyewe hawakuumbiwa hayo matamanio?
Tunaambiwa shetani ALITAMANI kuwa kama Mungu wakati akiwa malaika, sasa kama ni kitu kizuri kutamani (maana alivyoumba Mungu vyote ni vyema), then kwanini alimuadhibu shetani kwa kutamani kuwa kama Mungu?
Kwakukiri madhaifu kamwe hamtaacha kuwa dhaifu; halafu mnasema mwanamke ni kiumbe dhaifu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.