Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
WAKAZI WA jiji la Dar es Salaam wameonyesha kukata tamaa kuhusiana na umeme wa uhakika na kufanya walilie nishati hiyo kutokana na uchumi na hali ya kifedha kuzidi kua ngumu siku hadi siku kutokana na kukosa huduma hiyo muhimu Wakazi wengi ambao ni wafanyabiashara wanaotegemea nishati huyo wamejikuta wakiporomosha mitaji yao huku wengine wakionekana kufunga ofisi kutokana na kukosa nishati hiyo kwa muda mrefu huku hali hiyo ikifanya baadhi yao kuchanganyikiwa kimaisha
NIFAHAMISHE imeshuhudia jana mwanamke mmoja anayefanya biashara ya vinywaji ikiwemo uuzaji maziwa wa jumla amejikuta akililia hali ya kukosa umeme kwa kua amekua akimwaga lita kadhaa kila siku kutokana na bidhaa hiyo kuharibika
Mbali na kuwaza umeme pia amekuwa akililia umaliziaji wa deni la fedha linalomkabili katika taasisi moja inayokopesha wanawake kwa lengo la kujiendeleza hali inayofanya achanganyikiwe kwa kuwa hakuwa na rejesho la kurejesha ili kumaliza mkopo aliopewa katika taasisi hiyo
Mbali na mwanamke huyo pia ilishuhudia wafanyabiashara wa vinywaji baridi, stationary na wengine wengi wakilalamikia kukosa huduma hiyo ya nishati hali inayofanya kujkosa usingizi kutokana na kuporomoka kiuchumi wka kwua ofisi hizo huwasaidia kuingiza kipato chao cha kila siku ikiwemo na kujipatia fedha ya kujikumu na familia zao
Hali ya umeme jijini Dar es Salaam haipatikani kwa uhakika na wakazi wengi wakionekana kukata taamaa juu ya huduma hiyo kwa kuwa Shirika la Umeme Tanesco kutangaza makali ya mgaona kukiri hali kuwa tete kwa kuwa uzalishaji wa nishati kupungua
Baadhi ya maenenop umeme hupatikana kwa dakika kadhaa na si masaa kama awali huku wenigne wakikosa kabisa nishati hiyo kwa karibu siku mbili mfululizo hali inayofanya kukosa uhakika wa umeme kwa Watanzania
Chanzo: NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.
NIFAHAMISHE imeshuhudia jana mwanamke mmoja anayefanya biashara ya vinywaji ikiwemo uuzaji maziwa wa jumla amejikuta akililia hali ya kukosa umeme kwa kua amekua akimwaga lita kadhaa kila siku kutokana na bidhaa hiyo kuharibika
Mbali na kuwaza umeme pia amekuwa akililia umaliziaji wa deni la fedha linalomkabili katika taasisi moja inayokopesha wanawake kwa lengo la kujiendeleza hali inayofanya achanganyikiwe kwa kuwa hakuwa na rejesho la kurejesha ili kumaliza mkopo aliopewa katika taasisi hiyo
Mbali na mwanamke huyo pia ilishuhudia wafanyabiashara wa vinywaji baridi, stationary na wengine wengi wakilalamikia kukosa huduma hiyo ya nishati hali inayofanya kujkosa usingizi kutokana na kuporomoka kiuchumi wka kwua ofisi hizo huwasaidia kuingiza kipato chao cha kila siku ikiwemo na kujipatia fedha ya kujikumu na familia zao
Hali ya umeme jijini Dar es Salaam haipatikani kwa uhakika na wakazi wengi wakionekana kukata taamaa juu ya huduma hiyo kwa kuwa Shirika la Umeme Tanesco kutangaza makali ya mgaona kukiri hali kuwa tete kwa kuwa uzalishaji wa nishati kupungua
Baadhi ya maenenop umeme hupatikana kwa dakika kadhaa na si masaa kama awali huku wenigne wakikosa kabisa nishati hiyo kwa karibu siku mbili mfululizo hali inayofanya kukosa uhakika wa umeme kwa Watanzania
Chanzo: NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.