Salam,sipo hapa kwa ajili ya kuwatonesha vidonda wahanga wa mvua zilizoleta kadhia na vifo,ila nawakumbusha kwa maneno ya serikali kupitia RC.
Kwa wenzetu na uongozi wenye utu na busara ungeona kaamti ya maafa ikifanya jitihada za dharura za makazi na mlazi kwenye maeneo ya umma na hata walau utaratibu wa chakula na mashuka ya kujifunika,ila serikali hii anaeimbwa Mama yupo busy kwao Zanzibar mwezi mzima sasa na kawaachia Tanganyika Makonda na Nchimbi ambao wanapita mikoani na misafara ya maigizo ya trekta na kugawa hela!!
Wakazi wa Dar Es Salaam tangu Jana shughuli zote za kiuchumi na kijamii zimesimama na maafa yamejiri,mji mzima kila mahari ni maji tu yamefurika,je kote huko ni uzembe wa wananchi ama ubovu na uzembe wa serikali kwenye kutengeneza miundo mbinu na kuwajibika?!!
Kwa wenzetu na uongozi wenye utu na busara ungeona kaamti ya maafa ikifanya jitihada za dharura za makazi na mlazi kwenye maeneo ya umma na hata walau utaratibu wa chakula na mashuka ya kujifunika,ila serikali hii anaeimbwa Mama yupo busy kwao Zanzibar mwezi mzima sasa na kawaachia Tanganyika Makonda na Nchimbi ambao wanapita mikoani na misafara ya maigizo ya trekta na kugawa hela!!
Wakazi wa Dar Es Salaam tangu Jana shughuli zote za kiuchumi na kijamii zimesimama na maafa yamejiri,mji mzima kila mahari ni maji tu yamefurika,je kote huko ni uzembe wa wananchi ama ubovu na uzembe wa serikali kwenye kutengeneza miundo mbinu na kuwajibika?!!