Wakatoliki wanajua kuomba kuliko Waprotestanti

Mimi mnisaidie tu jambo moja, ni kwa nini watu wasiokuwa na time na mambo ya dini wana mafanikio makubwa?

Hata hapo ulipo angalia ndinga zinazopaki makanisani na misikitini halafu angalia ndinga zinazopaki club na, beach na mahotelini halafu lete mrejesho.
Utaulizwa wanafanikiwa kwa njia zipi halali?

When you see the poor exists know the rich have played them rough (robbed them by unjust fiscal policy)

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom