Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Kwenye hoja zinazogusa maslahi ya wananchi ficha upumbavuKwa hiyo Serikali inaendeshwa na Taasisi za kidini?
Hata kama mkataba ungekuwa haufai jambo ambalo halipo. Ni precedent mbaya sana kwa Serikali kuonekana inaendeshwa na Taasisi za kidini.
Hilo halipo na halitakuja kutokea duniani. Hakuna Taasisi yenye nguvu kuliko Serikali.
Haijatokea na haitakuja kutokea Duniani.
Hizo sifa mnawapa kwa sababu stori zenu za vijiweni tu.