johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
Najiuliza tu kwanini wakati wa Shujaa Magufuli watu hawakurudisha Kadi za CCM japokuwa kulikuwa na mapungufu pia serikalini?
Au walikuwa wanamuogopa tu, maana badala ya kurudisha kadi wafuasi wa CHADEMA ndio waliunga mkono juhudi.
Ahsanteni 😀
Au walikuwa wanamuogopa tu, maana badala ya kurudisha kadi wafuasi wa CHADEMA ndio waliunga mkono juhudi.
Ahsanteni 😀