Nizhneserginsky
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 265
- 545
- Thread starter
- #121
Ndio ukaachika hivyo?Mimi ni Mwanaume kwa nini utaki kuwa chini yangu yaani akiongea lake usipinge ni ndio
Ndio ukaachika hivyo?Mimi ni Mwanaume kwa nini utaki kuwa chini yangu yaani akiongea lake usipinge ni ndio
Ndio mkuundio ukaachika hivyo?
Hawaogop ata kurutiBaada ya kumaliza kozi jkt mujibu wa sheria siku tunarudishiwa simu tu nikajiunga mwenyewe nimtafute mpenzi ile namtumia sms "mambo bby" alichonijibu sasa nan baby wako akasema mm sio baby wako sikujui mm itakua umekosea namba hakyamungu pitshort niliiona nzito had leo hii anajifanya kujtumisha mesej m namzoom tu
Hakuna mwanamke ambae atakuvumilia hujui nimeamkaje nimeshindaje ww upo bize na mambo yako tu Sijawai kuwa kweny mahusiano ya namna hii mwanaume muda wote anawaza hela tu utasema umetumwa na kijiji hapana baba inatosha tafuta ambae unaendana nae kuna muda na mm napenda niwe na ww sehemu mbali mbali kama shoga zangu wanavofanya hapana hapana maisha mema
Rudi mkuu,utuelezentarudi
mkuu,stori ni ndefu sana hapo nimefupisha tuUnahudumiaje bila kula mbususu we vipi mkuu
HahahahaPipikijiti dudu au pipikijiti pipikijiti
Kwani kuna shda gan,kam anaufanya kwel huo umalaya asiambiwe?Eti unawezaje kumtukana mtu Malaya??
😂😂😂😂hasira zangu nikazimalizia kwa mzabuni
Kwa sherti la yeye kuwa bikra nakubali.Eti mpk unioe ndo ntafanya mapenz na ww.
Nlishangaa napewa kadi ya harusi tu
Kazi iendeleeNawasalimu kwa jina la kuachwa..
Nasoma comments
Nlishangaa napewa kadi ya harusi tu
Jufunze kuwapa muda wenzi wenu.Hakuna mwanamke ambae atakuvumilia hujui nimeamkaje nimeshindaje ww upo bize na mambo yako tu Sijawai kuwa kweny mahusiano ya namna hii mwanaume muda wote anawaza hela tu utasema umetumwa na kijiji hapana baba inatosha tafuta ambae unaendana nae kuna muda na mm napenda niwe na ww sehemu mbali mbali kama shoga zangu wanavofanya hapana hapana maisha mema
@Muuza simu used na mimi pia naungana na huyo mwamba,awa dadazetu wanaona mbususu yao ni kama tanzanite wakat nyote mnapata raha na akiondoka anaiacha.Kama wewe sio bikra nampongeza Jamaa kwa uamuzi wa kiume kabisa aliofanya!,yaani nisumbuliwe na demu used aah wapi!
Mpaka nifikie malengo yangu ndio taanza kuwapa muda vinginevyo kata konaJufunze kuwapa muda wenzi wenu.
Ndiyo maana wanashauri mwanaume anzisha mahusiano ukishakamilisha malengo yako,nje na hapo labda upate mtu mwelewa sanaMpaka nifikie malengo yangu ndio taanza kuwapa muda vinginevyo kata kona