The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 376
Hamjambo?
Jamani mimi nina shida. Hapa nimeachwa na bae nina kama wiki mbili hivi. Kisa cha kuachwa ni cha kawaida sana. Uzuri tunaongea kwa simu ingawa mara ya kwanza aliniblock ila sijui nini kilimpata, alinifungua (kunitoa kwenye block list) na kunitumia pesa bila kuniambia. Nilipoikuta pesa, nikajaribu kumpigia nimjulishe, bila kutegemea nikakuta inaita na akapokea na nikaishia kumshukuru tu.
Kaka zangu, nipeni maujanja ya kurudiana na huyu mtu. Sitaki kabisa aondoke katika maisha yangu. Nampenda sana na hata yeye anajua hivyo. Tatizo haonyeshi ushirikiano wa kurudiana nami.
Nipeni maujanja mwanawane.
Jamani mimi nina shida. Hapa nimeachwa na bae nina kama wiki mbili hivi. Kisa cha kuachwa ni cha kawaida sana. Uzuri tunaongea kwa simu ingawa mara ya kwanza aliniblock ila sijui nini kilimpata, alinifungua (kunitoa kwenye block list) na kunitumia pesa bila kuniambia. Nilipoikuta pesa, nikajaribu kumpigia nimjulishe, bila kutegemea nikakuta inaita na akapokea na nikaishia kumshukuru tu.
Kaka zangu, nipeni maujanja ya kurudiana na huyu mtu. Sitaki kabisa aondoke katika maisha yangu. Nampenda sana na hata yeye anajua hivyo. Tatizo haonyeshi ushirikiano wa kurudiana nami.
Nipeni maujanja mwanawane.