Wajumbe wa tume ya katiba

Mr. Teacher

JF-Expert Member
Jan 15, 2011
330
88
Jamani hivi, mswada unasema wabunge, wawakilishi, madiwani & viongozi wa vyama vya siasa wasijumuishwe kwenye b'se wana 'full time job'. Sasa mimi najiuliza ina maana watachukuliwa watu ambao hawana 'full time jobs' au watachukuliwa ambao hawana kazi kabisa?
 
Jamani hivi, mswada unasema wabunge, wawakilishi, madiwani & viongozi wa vyama vya siasa wasijumuishwe kwenye b'se wana 'full time job'. Sasa mimi najiuliza ina maana watachukuliwa watu ambao hawana 'full time jobs' au watachukuliwa ambao hawana kazi kabisa?

Tegemea kuona maswahiba na si vinginevyo...
 
Labda wachukuliwe mateja ambao ni jobless japo nao wana job ya kuvuta mambo yao
 
Usishangae prof Kabudi au Dr Bana ndio akawa Mwenyekiti na hayo ndio mashaka ya wapinzani kwamba unamweka mtu wa system kwenye mchakato na ambaye maoni yake na msimamo yanajulikana tayari
 
Usishangae prof Kabudi au Dr Bana ndio akawa Mwenyekiti na hayo ndio mashaka ya wapinzani kwamba unamweka mtu wa system kwenye mchakato na ambaye maoni yake na msimamo yanajulikana tayari

Mimi naona tumekuwa na shaka kupia kiasi. Natarajia atachagua watu wenye sifa kwa mujibu wa maelekezo yaliyomo katika itakayokuwa Sheria ya Kuunda Tume ya Katiba. Pia kwa upande wangu na kwa namna ninavyowajua Prof Kabudi na Bana pia wana sifa ya kutosha kuwa katika Tume kama watateuliwa.
 
Tatizo la watanzania wengi hawaelewi! Kusudio ni wanasiasa wa upinzani wasiingie kwenye tume wasije tufumbua macho. Kweli cdm mmetusaidia sana kuelewa usanii mwingi wa ccm. Ccm ni mafia kwa usanii halafu uwape kuteua tume hii ni sawa kumwachia simba mtoto wako akulelee. Hapo watatunywa kama mbege. Angalia hilo litume la uchaguzi lina mizee sana lakini inasema uongo. Hii nchi imelaniwa angalia zee kama ruhanjo liongo mpaka umri huo. Hii mizee hakuna wanaloweza kutufundisha ni upuuzi mtupu
 
Jamani hivi, mswada unasema wabunge, wawakilishi, madiwani & viongozi wa vyama vya siasa wasijumuishwe kwenye b'se wana 'full time job'. Sasa mimi najiuliza ina maana watachukuliwa watu ambao hawana 'full time jobs' au watachukuliwa ambao hawana kazi kabisa?

lets cross da bridge when we reach there! wakileta madudu tuna tupa kule!!
 
Mimi naona tumekuwa na shaka kupia kiasi. Natarajia atachagua watu wenye sifa kwa mujibu wa maelekezo yaliyomo katika itakayokuwa Sheria ya Kuunda Tume ya Katiba. Pia kwa upande wangu na kwa namna ninavyowajua Prof Kabudi na Bana pia wana sifa ya kutosha kuwa katika Tume kama watateuliwa.

hahahaha..ataunda tume yenye sifa...labda si ki kwete
 
Si ndo watakuwa Bana, Kabudi,Luhanjo, Jairo, Utto, Ngeleja, Zombe,Kalamagi,Msabaha,Chenge,Lowasa,Makamba,Mwakipesile,Kinana, ila tetesi ni kwamba kuna asilimia kubwa kwa Jairo kuwa mwenyekiti
 
Back
Top Bottom