Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Wakuu mpaka leo, pamoja na kuwa wajumbe wa tume ya katiba wameshaapishwa bado hawajapewa mkataba(barua) itakayowapa ujasiri wa kuacha ajira zao ili waanze kazi hiyo mpya waliyopewa na JK mwanahalisi linaripoti.
Gazeti linadai pia kuwa hadi leo tarehe 2 may wajumbe hawajawahi kukaa kikao cho chote cha maandalizi ya kazi hii nzito na muhimu kwa ajili ya mustakabali wa nchi yetu.
Jambo hili inakwenda kinyume na kauli ya Rais kuwa tumeamua kuwaapisha mapema zaidi (badala 30 april) ili wajiandae kuacha kazi zao mapema.
Mmoja wa wajumbe wa tume hiyo aliongea na mwanahalisi alisema, tangu tuapishwe hatukuwa na mawasiliano na Serikali wa mkiti wetu (Warioba)
Warioba alitumiwa msg ktk simu yake na mwanahalisi lakini hakujibu kabisa.
Kabla ya kutumiwa msg, gazeti linadai kuwa alipigiwa simu na kuwajibu kuwa yuko ktk kikao cha ccm (yeye ni balozi wa Nyumba kumi) na akawaambia hawezi kuongea kwa kuwa wako ktk uchaguzi.
My take;
Ninaanza kuelewa hoja na msimamo wa Mwanakijiji kuhusu katiba mpya ninaousoma magazetini na JF.
Gazeti linadai pia kuwa hadi leo tarehe 2 may wajumbe hawajawahi kukaa kikao cho chote cha maandalizi ya kazi hii nzito na muhimu kwa ajili ya mustakabali wa nchi yetu.
Jambo hili inakwenda kinyume na kauli ya Rais kuwa tumeamua kuwaapisha mapema zaidi (badala 30 april) ili wajiandae kuacha kazi zao mapema.
Mmoja wa wajumbe wa tume hiyo aliongea na mwanahalisi alisema, tangu tuapishwe hatukuwa na mawasiliano na Serikali wa mkiti wetu (Warioba)
Warioba alitumiwa msg ktk simu yake na mwanahalisi lakini hakujibu kabisa.
Kabla ya kutumiwa msg, gazeti linadai kuwa alipigiwa simu na kuwajibu kuwa yuko ktk kikao cha ccm (yeye ni balozi wa Nyumba kumi) na akawaambia hawezi kuongea kwa kuwa wako ktk uchaguzi.
My take;
Ninaanza kuelewa hoja na msimamo wa Mwanakijiji kuhusu katiba mpya ninaousoma magazetini na JF.