EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Badala ya Rais Kikwete kuwaapisha Ijumaa ya wiki hii, sasa atawaapisha tarehe 30 April mwaka huu.
Tume itaanza kazi yake Mei Mosi, 2012
Katiba Mpya ifikapo Aprili 26, 2014, itatumika kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Source gazeti la Mwananchi.
My Take: Kuahirishwa huku kusijekuwa ni minong'ono ya upungufu katika uteuzi wa wajumbe. (Mtei effect?).
Tume itaanza kazi yake Mei Mosi, 2012
Katiba Mpya ifikapo Aprili 26, 2014, itatumika kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Source gazeti la Mwananchi.
My Take: Kuahirishwa huku kusijekuwa ni minong'ono ya upungufu katika uteuzi wa wajumbe. (Mtei effect?).