Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,879
- 157,101
ASante sana shujaa wangu wa 2023.Happy new year in advance bro!
Nskutakia baraka nyingi 2024 uwe mwako wako wa kuinuliwa dada
ASante sana shujaa wangu wa 2023.Happy new year in advance bro!
AminaASante sana shujaa wangu wa 2023.
Nskutakia baraka nyingi 2024 uwe mwako wako wa kuinuliwa dada
Upendo Nkone ama?
[/huyu mama Mungu ambariki, mama amelinda ushuhuda wake kama muimbaji wa injili, mabinti chipukizi wa uimbaji injili wajifunze kwake
Yule anaye onekanaga kwenye nyimbo zake(mweupe hivi yupo kwenye video nyingi za Martha)Ana mtt wa kiume aliyemzaa na aliyekua mumewe
Huyo Binti gani mnamuongelea?
Kuwa katika haimanishi shetani hawezi kupambana nawe, siku zote anatafute mbinu nyingi kuvuruga kazi ya Mungu na uzinzi ni silaha kubwa anayoitumia Waefeso 6:12 maana tunashindana; falme na mamlaka, wakuu wa giza, majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. TuombeaneIKO HIVI, KUIMBA/UIMBAJI NI KIPAJI SIO UTAKATIFU.
SEMA KWA MIAKA MINGI TANGU UHURU, WAIMBA KWAYA WAMEJIJENGEA JINA ZURI KWA SBB YA KUIGIZA KUISHI KITAKATIFU.
LAKINI NI WATU FLANI WACHAFU KAMA MIMI TU.
NIMEWAHI KUWA KARIBU NI ILE KWAYA YA KKKT KIJITONYAMA, AISEEE NI MWENODO WA KUTIA NA KUTIWA
NA NDIO SBB YA KUNDI KUVUNJIKA KWA WACHACHE KUJIONDOA
Mmh mi najua ana wa kiumeYule anaye onekanaga kwenye nyimbo zake(mweupe hivi yupo kwenye video nyingi za Martha)
Ikawe heri kwaoMbona yupo kwenye ndoa hadi sasa na rafiki yangu Daud. Ndoa imetulia na wanakaa kwa amani na msuaso mwenzangu.
Mimi hata sikuwa najua kama ana mtotoMmh mi najua ana wa kiume
Okay,anae wa kwenye ndoa na mumeweMimi hata sikuwa najua kama ana mtoto
Wewe sababu gani iliyofanya uachane na Bold?Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Huyu hamna kitu..... Ingawa nampendagaMtumishiiiiiiiiiiiiiiiiiiii shisho