Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
upande wa pili wa CCM, tunasikia matawi yanayoanzishwa ughaibuni kuwa ni vituko. baada ya kuiona kideo ya ndugu wa wawili wakitapika pumba kuwa ni makatibu wenezi, naomba, kwa heshima na taadhima tuwafahamu hao viongozi wa chama chatu na jinsi walivyochaguliwa.
Kuna tetesi na malalamiko kwamba watu (wapenzi) walipeana vyeo. Wenyeviti wa CCM vijiji/kata walio na wanachama wengi hawapewi kipaumbele kama hawa wacheza taarabu sijui watapika pumba. Tunaomba majina na wasifu wao
1..Mwenyekiti...?
2..Katibu.....?
3..Katibu Mwenezi...?
4..Mweka Hazina...?
Kuna tetesi na malalamiko kwamba watu (wapenzi) walipeana vyeo. Wenyeviti wa CCM vijiji/kata walio na wanachama wengi hawapewi kipaumbele kama hawa wacheza taarabu sijui watapika pumba. Tunaomba majina na wasifu wao
1..Mwenyekiti...?
2..Katibu.....?
3..Katibu Mwenezi...?
4..Mweka Hazina...?