omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 145
halafu magharasa hayo hayo ndo yatapewa ubunge wa kuteuliwa .......Tanzania bwana?? ....acha tu.
Kaka umetumia vigezo gani kuwaona kuwa ni magarasa? Majina yao ya mwisho tu ama kuna vigezo vingine?
Omarilyas