S saleh sule Member Dec 25, 2011 47 8 Dec 25, 2011 #1 wajinga wa 3 walikuwa wanaangua embe mmoja akasema 'heb subil nipande akapanda akafinya ile embe alaf akashuka akasema imeiva 2endeleeni wakaendelea
wajinga wa 3 walikuwa wanaangua embe mmoja akasema 'heb subil nipande akapanda akafinya ile embe alaf akashuka akasema imeiva 2endeleeni wakaendelea
Erickb52 JF-Expert Member Oct 31, 2010 18,539 11,442 Dec 26, 2011 #3 Hahahahaaaaa hao ni wajinga kweli
THK DJAYZZ JF-Expert Member Sep 14, 2011 2,167 175 Dec 26, 2011 #4 Khaaa ! Hii style ya copy & paste imezid ngoja niongee na mod tuanze kutoa adhabu.