GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
Imeandikwa na Mwandishi Wetu;
Tarehe: 29th July 2010
BARAZA la Habari la Kiislamu Tanzania (Bahakita), limesema katika siku 14 lilizotoa kwa CCM na kufanya uchunguzi, limebaini kuwa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete na CCM wana dhamira njema ya kuanzisha Mahakama ya Kadhi nchini.
Kutokana na kuwa na imani nao, imewataka Waislamu kuiunga mkono Serikali na CCM kwani ni chama pekee kilichoonesha dhamira ya dhati kwa kuliweka suala la Mahakama hiyo, kwenye Ilani yake ya Uchaguzi ya mwaka 2005.
Vilevile limewataka Waislamu wakiwamo mashekhe, maimamu na wanaharakati, kuvuta subira katika mchakato wa kumtafuta mtu anayestahili kuwa Kadhi Mkuu.
Akitoa jana Tamko la Baraza kwa waandishi wa habari baada ya kumalizika siku hizo 14, Mkurugenzi wa Baraza hilo, Ustaadhi Chifu Msopa, alisema katika kipindi hicho, walifanya uchunguzi wa kisayansi kujua ukweli halisi wa kuanzishwa Mahakama hiyo na kubaini kuwapo dhamira ya kweli.
Alisema katika siku 14 zilizomalizikakuwauzia hoja ya Kadhi, lakini vyote isipokuwa Tanzania Labour Party (TLP) viliogopa.
"TLP walikubali kupitia Mwenyekiti wake, Augustino Mrema, ingawa kwenye Ilani ya TLP hakuna suala la Kadhi," alisema na kuongeza: "Bahakita imeshindwa kuwafanya Waislamu kondoo wa kafara katika uchaguzi mkuu ujao, kwani tumeona tuipe muda Ofisi ya Waziri Mkuu iendelee na vikao vyake na Sekretarieti ya Mashekhe kwani tumepata ufafanuzi wa kina kwa pande zote mbili," alisema.
Pamoja na kukubali huko, Baraza lilitoa mapendekezo kwa Mufti kuongeza uwakilishi wa kutosha katika uanzishwaji wa suala la Kadhi.
Mazungumzo yanayoendelea kati ya Serikali na mashekhe yalitokana na Waziri Mkuu kukaa pamoja na mashekhe 25 na Mufti na kuunda Sekretarieti ya kutoa mapendekezo ya uanzishwaji wa Mahakama hiyo, na hadi sasa zaidi ya vikao vinane imefanyika kuangalia mfumo wa Mahakama hiyo utakavyokuwa.
jana, Baraza lilifanya mazungumzo na vyama vikubwa vya upinzani nchini kwa lengo la kuwauzia hoja ya Kadhi, lakini vyote isipokuwa Tanzania LabourParty (TLP) viliogopa.
"TLP walikubali kupitia Mwenyekiti wake, Augustino Mrema, ingawa kwenye Ilani ya TLP hakuna suala la Kadhi," alisema na kuongeza:"Bahakita imeshindwa kuwafanya Waislamu kondoo wa kafara katika uchaguzi mkuu ujao, kwani tumeona tuipe muda Ofisi ya Waziri Mkuu iendelee na vikao vyake na Sekretarieti ya Mashekhe kwani tumepata ufafanuzi wa kina kwa pande zote mbili," alisema.
Pamoja na kukubali huko, Baraza lilitoa mapendekezo kwa Mufti kuongeza uwakilishi wa kutosha katika uanzishwaji wa suala la Kadhi.
Mazungumzo yanayoendelea kati ya Serikali na mashekhe yalitokana na Waziri Mkuu kukaa pamoja na mashekhe 25 na Mufti na kuunda Sekretarieti ya kutoa mapendekezo ya uanzishwaji wa Mahakama hiyo, na hadi sasa zaidi ya vikao vinane vimefanyika kuangalia mfumo wa Mahakama hiyo utakavyokuwa.
Source: Habari leo
My take: Jamani hii ndo CCM bwana......
Tarehe: 29th July 2010
BARAZA la Habari la Kiislamu Tanzania (Bahakita), limesema katika siku 14 lilizotoa kwa CCM na kufanya uchunguzi, limebaini kuwa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete na CCM wana dhamira njema ya kuanzisha Mahakama ya Kadhi nchini.
Kutokana na kuwa na imani nao, imewataka Waislamu kuiunga mkono Serikali na CCM kwani ni chama pekee kilichoonesha dhamira ya dhati kwa kuliweka suala la Mahakama hiyo, kwenye Ilani yake ya Uchaguzi ya mwaka 2005.
Vilevile limewataka Waislamu wakiwamo mashekhe, maimamu na wanaharakati, kuvuta subira katika mchakato wa kumtafuta mtu anayestahili kuwa Kadhi Mkuu.
Akitoa jana Tamko la Baraza kwa waandishi wa habari baada ya kumalizika siku hizo 14, Mkurugenzi wa Baraza hilo, Ustaadhi Chifu Msopa, alisema katika kipindi hicho, walifanya uchunguzi wa kisayansi kujua ukweli halisi wa kuanzishwa Mahakama hiyo na kubaini kuwapo dhamira ya kweli.
Alisema katika siku 14 zilizomalizikakuwauzia hoja ya Kadhi, lakini vyote isipokuwa Tanzania Labour Party (TLP) viliogopa.
"TLP walikubali kupitia Mwenyekiti wake, Augustino Mrema, ingawa kwenye Ilani ya TLP hakuna suala la Kadhi," alisema na kuongeza: "Bahakita imeshindwa kuwafanya Waislamu kondoo wa kafara katika uchaguzi mkuu ujao, kwani tumeona tuipe muda Ofisi ya Waziri Mkuu iendelee na vikao vyake na Sekretarieti ya Mashekhe kwani tumepata ufafanuzi wa kina kwa pande zote mbili," alisema.
Pamoja na kukubali huko, Baraza lilitoa mapendekezo kwa Mufti kuongeza uwakilishi wa kutosha katika uanzishwaji wa suala la Kadhi.
Mazungumzo yanayoendelea kati ya Serikali na mashekhe yalitokana na Waziri Mkuu kukaa pamoja na mashekhe 25 na Mufti na kuunda Sekretarieti ya kutoa mapendekezo ya uanzishwaji wa Mahakama hiyo, na hadi sasa zaidi ya vikao vinane imefanyika kuangalia mfumo wa Mahakama hiyo utakavyokuwa.
jana, Baraza lilifanya mazungumzo na vyama vikubwa vya upinzani nchini kwa lengo la kuwauzia hoja ya Kadhi, lakini vyote isipokuwa Tanzania LabourParty (TLP) viliogopa.
"TLP walikubali kupitia Mwenyekiti wake, Augustino Mrema, ingawa kwenye Ilani ya TLP hakuna suala la Kadhi," alisema na kuongeza:"Bahakita imeshindwa kuwafanya Waislamu kondoo wa kafara katika uchaguzi mkuu ujao, kwani tumeona tuipe muda Ofisi ya Waziri Mkuu iendelee na vikao vyake na Sekretarieti ya Mashekhe kwani tumepata ufafanuzi wa kina kwa pande zote mbili," alisema.
Pamoja na kukubali huko, Baraza lilitoa mapendekezo kwa Mufti kuongeza uwakilishi wa kutosha katika uanzishwaji wa suala la Kadhi.
Mazungumzo yanayoendelea kati ya Serikali na mashekhe yalitokana na Waziri Mkuu kukaa pamoja na mashekhe 25 na Mufti na kuunda Sekretarieti ya kutoa mapendekezo ya uanzishwaji wa Mahakama hiyo, na hadi sasa zaidi ya vikao vinane vimefanyika kuangalia mfumo wa Mahakama hiyo utakavyokuwa.
Source: Habari leo
My take: Jamani hii ndo CCM bwana......