Mr.Toyo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2007
- 433
- 117
Mbona hujafafanua kuhusu mtandio? Hijabu si hufungwa kwa mapini na hivo si rahisi kuvulika?mbona hii ya huyu mama ni kama mtandio bila mapini? Huyu mama mnafiki sana
Hapa kabla ya tukio kavaa mtandio:
Baada ya tukio kakumbuka hijabu:
Acha kudanganya watu kwa kubatilisha ukweli; Hata mtoto mdogo anaweza kutambua tofauti katika hizi picha.
NGUO ALOKUWA AMEVAA SIKU YA TUKIO NI TOFAUTI NA PICHA FEKI ULIYOONESHA HAPO (INAONESHA ALIVAA NGUO NYEKUNDU).HUO NI UONGO ULIO DHAHIRI NAKUSHAURI UTAFUTE SOFTWARE YA ADOBE PHOTOSHOP LABDA ITAKUSAIDIA KUBATILISHA UKWELI.